Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii game tukishinda Matusi watakayomiminiwa Salah na Firmino sio ya Nchi hii.

Miongoni mwa kauli zitakazoibuka ni:-

  • Asipocheza Salah tunashinda => As If leo ni ya kwanza kushinda.
  • Tumeshinda kwasababu Bobby na Salah hawakucheza.

Tusiposhinda hawa waliopongeza leo watabadili gia angani na kusema kinyume chake
 
Tokea nianze kupenda mpira sijawahi kumuomba Mungu kwenye mpira kwani siamini Sala wala Maombi kwenye mpira bali naamini uwezo wa Timu lakini leo najisikia kutaka huruma ya Mungu.
 
Kikosi chenu kimeanza kureflect maneni yetu ya tangu mwaka juzi ya wanga wa mpira.

Anyway, siyo gemu ngumu kwenu hata hivyo.
 
Wacha wajidanganye tu! Wanadhani Klopp anaweza kuwaweka Benchi Salah, Bobby na Hendo kwasababu ya Origi na OX.
Ipi mechi yenyewe umuhimu wa kushinda kati ya hii ya Burnley na Manchester United ya FA Cup.
 
Ipi mechi yenyewe umuhimu wa kushinda kati ya hii ya Burnley na Manchester United ya FA Cup.
Mechi ya lig n muhimu zaid ya FA.
Ukubwa na thaman ya lig n zaid ya FA
Kuipuuza mech ya leo kisa mech ya Man utd n ujinga mwingine mkubwa ataofany Jurgen.

Naiona droo kweny hii game
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom