nikiwa kama mshereheshaji wa liverpool halisi kwa siku ya leo naomba nikujibu ifuatavyo:
captain hendo ni tunu ya liverpool akiwa popote (ndani na nje ya uwanja), hivyo basi kitendo chake cha kujitolea (sisi tunaamini hendo ana uwezo wa kugomea hiyo position na isiwe kesi kwa klopp) kucheza nafasi ya beki ni cha kuthaminiwa na kujadiliwa zaidi na wapenda maendeleo ya liverpool kuliko hao wengineo uliowataja (fabinho na gini).
hao wengine (fabinho na gini) hata kama wataendelea kuchezeshwa nje ya maeneo yao yaliozoeleka hatutoweza kusikia wasifu wao uliojaa utiifu kutoka kwa washirika wetu wakubwa kama vile pundits wa kiengereza na vyombo vyao vya habari, bali tendo hilo litachukuliwa kama njia moja ya kutimiza wajibu wao wakiwa kama waajiriwa wa hapo anfield.
=================