Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tofauti ni kwamba Klopp anatumia indirect method sio direct kama kina mourinho mfano zile blunder za Karius tulijua kabisa klopp lazima amfurushe tuu, na akamfurusha indirect tofauti ingekua Mou angebwatuka

Tafuta wanaomfahamu Klopp kama MosDef wakusomeshe kuhusu Tabia za Klopp! Klopp Hajawahi kutumia Mdomo kwenye Media katika maamuzi yake iwe Direct au Indirect.
Nakumbuka kwenye Sakata la Coutinho kauli ya mwisho alimwambia Coutinho mwenyewe na wala hakukimbilia kwenye Media. "Bakia Liverpool utakuwa Legend na utajengewa Sanamu la Heshima, Lakini nje ya Liverpool hutakuwa Chochote".

Key Point: Klopp hajibizani na Mchezaji kwenye Media iwe Direct au Indirect.
 
Mpaka DullyJr na Aaron Arsenal wameacha kutua humu kwa kweli hali yao sio powa kabisa...

Mikel wamteme tu hakuna namna amechemka...

YNWA

No! Kumtema Arteta sio suluhisho! Arsenal ile ni sawa na Liverpool aliyoikuta Klopp ya kina Kolo Toure na Benteke. Hata apewe Kocha gani hawezi kuitoa ilipo.

Njia pekee ya kuinasua Arsenal ni kubadilisha sera za uwekezaji.
 
Huu msimu bado aisee, kuna uwezekano tukaenda mpaka game 2 za mwisho bila kujua bingwa ni nani.

Mimi mpaka sasa bado namfikiria City.

January ikiisha ndio itatoa picha vizuri,maana kila timu zitakuwa zimekutana.sio sasa hivi ukasema flani atakuwa bingwa.

Ndio maana kuna muda Arsenal walionekana watachukua ubingwa kwa kushinda mechi mbili za mwanzo wa ligi.

Tusubirie mzunguko wa kwanza ukiisha nani atakuwa juu hapo. Mzunguko wa kwanza hautatofautiana sana na wa pili.

Kama mzunguko wa kwanza tumeshindwa kuchukua point kwa Aston villa pekee yake mzunguko mzunguko wa pili tutakuwa na nafasi kubwa sana ya kuchukua ubingwa.
 
January ikiisha ndio itatoa picha vizuri,maana kila timu zitakuwa zimekutana.sio sasa hivi ukasema flani atakuwa bingwa.

Ndio maana kuna muda Arsenal walionekana watachukua ubingwa kwa kushinda mechi mbili za mwanzo wa ligi.

Tusubirie mzunguko wa kwanza ukiisha nani atakuwa juu hapo. Mzunguko wa kwanza hautatofautiana sana na wa pili.

Kama mzunguko wa kwanza tumeshindwa kuchukua point kwa Aston villa pekee yake mzunguko mzunguko wa pili tutakuwa na nafasi kubwa sana ya kuchukua ubingwa.

Unachosema ni sahihi, lakini ukiangalia timu zilivyobanana hali siyo ya kujiamini sana. Ukidroo mbili mfululizo unashangaa umepitwa.

Mfano Chelsea, kabla ya kufungwa na Everton, yeye na Tottenham walikuwa kama ndo top kwenye list inayopambana na Liverpool, ila wamekula vipigo vya haraka haraka vitatu mpaka akili imewakaa sawa.
 
Ngwaba fala sana, hahahaha

Unajua hawa Madogo wanaonunuliwa mpaka Boxer za kuficha Makende yao na kulipiwa Ada za shule huwaga wanakosa adabu sana ndiyomana nawapa maneno yanayoendana na wao.

Jana wakati narudi kuwaangalia Manure nilimkuta Dogo mmoja anapiga Stori na wenzake anaponda sana Simu za Samsung na Tecno huku akijitapa yeye kamwe hawezi kutumia takataka hizo kwasababu tu yeye anatumia iPhone.

Dah! Nilimuangaliaaa halafu nikatembea kwasababu najua wazi nikimwambia aondoke kwao ile kutwa moja hana uwezo wa kujinunulia hata Kitumbua.

Anachoringia ni kuwa Babayake ni Katibu Mkuu na Mama yake ni Mkurugenzi anapewa mpaka hela ya kwenda Saloon kunyoa.

Madogo wanakosaga Adabu sana Yani
 
Unajua hawa Madogo wanaonunuliwa mpaka Boxer za kuficha Makende yao na kulipiwa Ada za shule huwaga wanakosa adabu sana ndiyomana nawapa maneno yanayoendana na wao.

Jana wakati narudi kuwaangalia Manure nilimkuta Dogo mmoja anapiga Stori na wenzake anaponda sana Simu za Samsung na Tecno huku akijitapa yeye kamwe hawezi kutumia takataka hizo kwasababu tu yeye anatumia iPhone.

Dah! Nilimuangaliaaa halafu nikatembea kwasababu najua wazi nikimwambia aondoke kwao ile kutwa moja hana uwezo wa kujinunulia hata Kitumbua.

Anachoringia ni kuwa Babayake ni Katibu Mkuu na Mama yake ni Mkurugenzi anapewa mpaka hela ya kwenda Saloon kunyoa.

Madogo wanakosaga Adabu sana Yani
Unajua dogo nilikuwa nakuona wa maana


ila nikwambie tu, kubishana na madogo Kama nyie ambao bado akili haijapevuka ni matumizi mabaya ya akili


Wewe dogo nikirusha picha yako humu kila mtu anaweza jua nini namaanisha, wewe bado dogo sana, hatulingani hata kidogo sawa mdogo wangu
 
Unajua dogo nilikuwa nakuona wa maana


ila nikwambie tu, kubishana na madogo Kama nyie ambao bado akili haijapevuka ni matumizi mabaya ya akili


Wewe dogo nikirusha picha yako humu kila mtu anaweza jua nini namaanisha, wewe bado dogo sana, hatulingani hata kidogo sawa mdogo wangu
Una biti kama la kigogo yaani
Embu rusha hiyo picha yake ili tuamin maneno anayosema Sio sahihi
 
Unajua dogo nilikuwa nakuona wa maana


ila nikwambie tu, kubishana na madogo Kama nyie ambao bado akili haijapevuka ni matumizi mabaya ya akili


Wewe dogo nikirusha picha yako humu kila mtu anaweza jua nini namaanisha, wewe bado dogo sana, hatulingani hata kidogo sawa mdogo wangu
Wewe ni dizaini ya wale watu
"" Unajua Mimi ni Nani""
 
Wewe ni dizaini ya wale watu
"" Unajua Mimi ni Nani""
Huyu dogo mnamuona wa maana sana humu, ni kajamaa flani hivi kapo kapo, ni vile tu jf yanaonekana maandish

Lakin cha ajabu anaanza kutupanda kichwani na sisi wakubwa zake

Mimi namheshimu sana kama binadamu wengine!

anajisahau sana, kushabikia mpira sawa ila dharau zikizid ni too much
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom