Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Jones is one for the future huyu hana noma wala nini...Lakini iwapo Thiago atakuwa Mzima na Keita atakuwa Mzima basi Mwenye Uhakika wa kucheza kwenye Mido kwa 100% Fabinho peke yake.
Thiago, Keita, Hendo, Jones, OX wote watacompete namba.
At his age he knows miaka miwili 2 atakua yupo pazuri so kwa sasa he can enjoy the minutes as they come...
No wonder Klopp was aiming EPL warudishe sub 5 per game ili hawa vijana wote angalau wapate some minutes...
Management ya Thiago should be top class... Uzuri class is class just like we watch Shaqir not playing 15 games in a season but when he do gets the minutes when fit his contribution inakua immense...
Ox, Shaqir and Keita should be okay playing second fiddle to Gini, Thiago, Hendo, maana wao kuumia nje nje damn hope they can shake off that scary trend..
If Fabby shift back to his preferred role the hapo sioni Gini akichomoka...
Thiago should be given 60 minutes zinamtosha sana huyu.. EPL kwa viatu ndio penyewe...
YNWA

% ya kushinda ugenini kwenye EPL.