King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Whats Poppin' Big Sam?..Give a favour..1-1 draw itakuwa siyo mbaya
False hope
Whats Poppin' Big Sam?..Give a favour..1-1 draw itakuwa siyo mbaya
Hakuna namna leo atapigwa tu...Big Sam ni expert kwenye kunusuru Timu zisishuke Daraja
Whats Poppin' Big Sam?..Give a favour..1-1 draw itakuwa siyo mbaya
Kweli kibabe. Kamkata maini kabisa aliposema origi ndo alitakiwa avaeamesema liverpool ni moja wapo ya timu kubwa duniani, wanalipa vizuri, wanafa base bora kabisa, rangi nzuri, uwanja mzuri, akasema sababu pekee ya kumfanya mchezaji ahame liverpool labda hali ya hewa.
akatiririka tena kuwa mtu akitaka kuondoka hawawezi mlazimisha kubaki
akamalizia na ile ishu ya u captain, akasema kwa walivyojiwekea wao wale makapteni wanne wakikosekana wote basi atayevaa kitambaa ni yule mwenye longest career, hivyo kwa ile mechi anasema aliyestahili kuvaa ni Divock Origi, hivo kumpa TAA alikosea


klopp mhuni kweliBig Sam ananipa hofu Sana. Ana mpira fulani wa kihuni hiviHakuna namna leo atapigwa tu...
YNWA
Huyu Keita ni bora angetulia zake tu huko wadini kuliko kujifanya kapona hafu mechi ni moja anarudi wodini
Big Sam sio mtu powa....Big Sam ananipa hofu Sana. Ana mpira fulani wa kihuni hivi
Nasikia hayupo fit ndomana hata bench hayupoKeita ameshapona moja kwa moja.
Majeruhi labda yawe ya kawaida tu.