Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,749
- 28,143
Iko wazi kuwa kocha bora wa msimu ni Hans .Maybe, uelewa wangu ni kwamba tuzo inaangalia ulichafanya msimu unaozungumziwa.
Football World inashangaa mpaka sasa nini kimetumika kumpa Klopp badala ya jamaa.
Klopp mwenyewe alishangaa.
Bayern wameshinda vikombe 5 chini ya huyo kocha.
Kiushabiki, naweza sema sawa, ila kiuhalisia sidhani kama Klopp alistahili hii tuzo.
Laini hiyo haimaanishi kuwa Hans ni bora kuliko jk..
Hayo ya vigezo gani wametumia kutoa tuzo sijajua
