Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Haya majamaa yanatembea vifua mbele Kama ilani ya ccm
Hahaha Mkuu pengine pale Blades hapati service kama pale Swansea..Mchezaji gani yule mlikua mnampa sifa bure kabisa mchezaji anamaliza dakika 20 hajagusa mpira? Mpaka sasa lile ni galasa tunabahati kupata ile pesa
Keita umri wake wa kweli utakuwa kwenye 34 hiviBwana wee Keita ana ka upara fulani haha ka mwenye miaka 28+🙈🙈🙈🙈
Kwa waafrika bhana sitoshangaa kama kweli sio umri wake ule...
Akasake tonge kwingine pale Anfield pamemkataa...
YNWA
Kijana legelege huyu mnampa sifa asizostahili kabisa.Jones ni future Captain wa Liverpool haha
Ishu ya Brewster ilikua imefikia pambaya kambi yake hawakutaka mkopo tena walitaka wapewe uhakika wa dogo achezw kikosi cha kwanza ina maana angekua ana compete nafasi na wazoefu Bobby, Jota, Origi... Klopp hakutaka kumbakisha aafu asicheze tena dogo angejisikia sio sawa ndio maana wakapewa plan B auzwe ila Liverpool waweke buy back clause kwa future business akihitajika tena nyumbani..
Kuuzwa kwa Brwester ilikua sawa kabisa naispoti kwani kwa level yetu ya ushindani hatuna muda wa trial kwenye ufungaji ndugu... Mtazame pale Blades haja click kabisa am sure na vile wapo mkiani watakua wanaona walipigwa ela pale maana ni record signing....
Kwanza stamina wise Brewster bado kabisa na hili kwa EPL litamsubua maana EPL ni physical league na yeye ni traditional 9 hivyo Klopp alitaka ashuke chini akapate dakika za kutosha ili kumleta upto speed physical wise.. Kama unakumbuka January 2020 alikwenda kwa mkopo Swansea na alifanikiwa sana hivyo Klopp was insisting development yake ipo on track akiwa Championship zaidi ya EPL kwa vile kule anapata minutes za kutosha...
Elliott ni season long loan na hata ikiisha waongeze tena bado hayupo tayari physically kuchukua namba ama kua msaidizi wa Salah... So far anakwenda powa sana assit za kutosha na magoli pia..
TAA ni talent ndugu just like Jones, Rashford, Kane, Mason etc hawa wanahitaji tu dakika uwanjani the rest ni kocha kusema huyu ni wa hapa hapa no loaning...
YNWA
Wewe klop alishindwa kufanya aliyofanya Flick Ujerumani ndani ya msimu mmoja halafu bado unapayuka eti "Hansi anya nyinyu nyingi nya kunyinyunya nya klop"....Hans kaibiwa tuzo na Klop PERIOD.Sawa Mimi kwangu still ni jk..
Hans bado ana vitu vingi vya kujifunza kwa jk
Huyo peke yake ndo ana mahaba....Shabiki wa hii timu punguzeni mehemuko na mahaba..mnashindwa hata kufanya upembuzi mdogo.
Majeruhi yamemmaliza na uzito wa jezi namba 8 ndio kabisaaa...Keita umri wake wa kweli utakuwa kwenye 34 hivi
Hata Rashford walisema hivyo hivyo miaka hioo anaanza anza na sasa ni jembe...Kijana legelege huyu mnampa sifa asizostahili kabisa.
Wakuu Thiago anakaribia kupona mazima..
Je MFs itapendeza kama ni
Gini, Thiago, Hendo au
Gini, Thiago, Jones au
Hendo Thiago Jones
Thiago huyo ni mtamu zaidi akiwa CM.
Selhurst Park mapema kabisaaaaa kesho tunafanya yetu...
YNWA
Dogo ni bora ungefunga domo lako kwa kuwa umeanza kucheki soka juzi.Wewe klop alishindwa kufanya aliyofanya Flick Ujerumani ndani ya msimu mmoja halafu bado unapayuka eti "Hansi anya nyinyu nyingi nya kunyinyunya nya klop"....Hans kaibiwa tuzo na Klop PERIOD.
We panzi bila shaka Klop umemfahamu alipofika LiverpoolDogo ni bora ungefunga domo lako kwa kuwa umeanza kucheki soka juzi.
Kasome histori yake jk vizuri..
Na utulie sio kupayuka na domo lako kama chai jaba
Mtu anazurula tu uwanjani watampangaje sasa tumewapiga wale yule ni tisa ya kizamani mpaka atengenezewe mfumo wake wenzie wacheze yee afunge tuHahaha Mkuu pengine pale Blades hapati service kama pale Swansea..
Usim rule out mapema hivi bado ana nafasi ya kukaa sawa cha msingi aijfue mazoezini vya kutosha...
All the best kwake...
YNWA
Wee bwana mahaba ona hapo kocha bora klop avyotoa appreciation na kushangazwa na hyo tuzo hafu ww unakomaa kuongea utopolo hapa.Sawa Mimi kwangu still ni jk..
Hans bado ana vitu vingi vya kujifunza kwa jk
Mbona unanilazimisha mzee?Wee bwana mahaba ona hapo kocha bora klop avyotoa appreciation na kushangazwa na hyo tuzo hafu ww unakomaa kuongea utopolo hapa.View attachment 1653736
Wewe klop alishindwa kufanya aliyofanya Flick Ujerumani ndani ya msimu mmoja halafu bado unapayuka eti "Hansi anya nyinyu nyingi nya kunyinyunya nya klop"....Hans kaibiwa tuzo na Klop PERIOD.
Jk alishindwa akiwa na timu gani na Flick kaweza akiwa na timu gani? Huku ujeruman kombe lolote lisipoenda munchen dunia nzima inajiuliza hata kama munchen inafundishwa na Ole au Julio,Wewe klop alishindwa kufanya aliyofanya Flick Ujerumani ndani ya msimu mmoja halafu bado unapayuka eti "Hansi anya nyinyu nyingi nya kunyinyunya nya klop"....Hans kaibiwa tuzo na Klop PERIOD.
Mkuu dogo kama nilivyosema ni traditional 9 na Blades hawakubahatisha kutoa zile ela kwani akiwa Swansea alifunga magoli 11 nadhani katika mechi 17+ huku akiwa amejiunga nao January 2020...Mtu anazurula tu uwanjani watampangaje sasa tumewapiga wale yule ni tisa ya kizamani mpaka atengenezewe mfumo wake wenzie wacheze yee afunge tu
Thiago na wasiwasi kama kapona labda aanzie benchi...4 2 3 1 ili gini akae 10. Kila mtu anahitajika asee curtis jones kawa mtam, gini anakiwasha na thiago tumemmiss