Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahaha dhubutu....

Huyu ni Kop King in waiting...

Klopp will face the wrath of the real Reds....

YNWA
Mmmh labda SG8 anandaliwa ulaji huo.....lakin kwa Sasa asilimia ya hawa wakina Neco na Jones kupigwa bei ni 60/40 msimu ujao.
57271_.jpg
 
Mmmh labda SG8 anandaliwa ulaji huo.....lakin kwa Sasa asilimia ya hawa wakina Neco na Jones kupigwa bei ni 60/40 msimu ujao.View attachment 1653247
Mkuu MmangO nakupa asilimia 100 huyu dogo hauzwi kabisaa... Ana fit home grown criteria labda waje Manchester City na ofa ya £80m plus ndio hawa Fent Way wanaweza angalau kupata wazo la kufanya biashara kwa vile tunasema kila mchezaji ana bei....

Jones umri wake ni 19 but the boy is brave with the ball, his mind set up is that of solid MF and the more games he play the better he wil be...

Neco i believe the more he play the more he will understand the high demands of his RB position, klosi zake sio kiwango, defence awareness nayo shinda, instinct bado yupo chini sana nk pazuri hayo yote unaya master kwenye real game..

YNWA
 
ww mahaba jamekujaa una lolote...klop ni mzuri lakn msimu huu kwa flick ameachwa mbali.........
Bro labda tatizo ni nyota..wapiga kura wameona huyo bado haijafikia uwezo wa Jk sababu wanazo.

Lakini kweli kabisa JK na kikosi Cha kawaida tu kakuta timu imekaa miaka 30 pale hakuna EPL Cup hata moja alafu kuna mfalme katoka bundesliga kaja kachukua ,Bwana Pep(aliyefanya mpaka ligi ya mjerumani kuonekana Kama farmer's league) ,plus vikosi vya gharama wachezaji bora walikotoka wanakipiga EPL.

Niambie msimu uliopita competition wise Bundesliga na EPL wapi kulikuwa na ushindani zaidi!? Au unataka kusema pia inakuaje Mercelo Biesla kaingia vipi kwenye kugombania tuzo ya Kocha bora wakat kuna kama Thomas Tuchel kachukua League 1 hajawekwa pale!
Mpe heshima yake JK.
 
Sio kwamba wewe ndo unafosi 1 Iwe mbili?
Hans anahesabika kachukua tu UEFA.
Hivyo vikombe vyao huko tangu jk aonedoke nani mwengine alichukua kombe zaidi ya hao Bayern?

Kocha gani kabla ya Hans ambaye vikombe vya huko ujerumani vilimshinda kuchukua?
Hata Mimi saivi wakinipa team nachukua vikombe hivyo huko..

Halafu Hans amechukua UEFA sababu kubwa ni kuwa team nyingi ule msimu zilikuwa ziko vibaya ...
Mpaka PSG inaingia final ni ujinga gani huo?

Hata bajeti ya Hans kwa wachezaji na jk hazifanani jk ana bajeti ndogo na anafanya makubwa...

Leta na wewe hoja zako unazosema naona unaandika sentensi ya maandishi kumi halafu unanidai hoja..

Acha tuone msimu huu UEFA
ww mahaba yamekujaa huna ujualo.....kwahiyo PSG hawakustahili kufika fainali kwani unasingzia corona kwa bayern kipinf cha corona walikuwa wako juan hawapo dunian nimekwmbia unajua mziki wa kubeba treble au unabwabwaj hapa....nikitoe tu waswas hii habri imekuwa gumzo kila mtu anashangaa klop anachukua tuzo kwa kigezo gan????

Naamin hata klop mwenywe ameshangaa hakutegemea.
 
Mkuu MmangO nakupa asilimia 100 huyu dogo hauzwi kabisaa... Ana fit home grown criteria labda waje Manchester City na ofa ya £80m plus ndio hawa Fent Way wanaweza angalau kupata wazo la kufanya biashara kwa vile tunasema kila mchezaji ana bei....

Jones umri wake ni 19 but the boy is brave with the ball, his mind set up is that of solid MF and the more games he play the better he wil be...

Neco i believe the more he play the more he will understand the high demands of his RB position, klosi zake sio kiwango, defence awareness nayo shinda, instinct bado yupo chini sana nk pazuri hayo yote unaya master kwenye real game..

YNWA
Mkuu ni sawa na natamani hata Brewster asingeuzwa watolewe tu kwa mkopo...lakini Kila dogo akitokezea anapigwa bei ni noma
Bora Elliot wamempa nafasi nzuri ..mi naamini kwenye kucheza mara kwa mara kwa uhuru kwa madogo ndo kunawajenga.
TAA ashukuru Nathaniel alikuwa na majeraha ya muda mrefu.
Jones pia anakomaa zaidi pale pale ndo mwake.
Bro mi sababu moja wapo ya kuipenda Liver zaidi ni kusikia kipindi kile dogo Michael Owen anatikisa wakina Jaap Stam nami dogo sana wa kitaa nakipiga na mabroo kibishi....ndo maana naumia dogo anapokomaa vizuri alafu anapigwa bei daah!
 
Bro labda tatizo ni nyota..wapiga kura wameona huyo bado haijafikia uwezo wa Jk sababu wanazo.

Lakini kweli kabisa JK na kikosi Cha kawaida tu kakuta timu imekaa miaka 30 pale hakuna EPL Cup hata moja alafu kuna mfalme katoka bundesliga kaja kachukua ,Bwana Pep(aliyefanya mpaka ligi ya mjerumani kuonekana Kama farmer's league) ,plus vikosi vya gharama wachezaji bora walikotoka wanakipiga EPL.

Niambie msimu uliopita competition wise Bundesliga na EPL wapi kulikuwa na ushindani zaidi!? Au unataka kusema pia inakuaje Mercelo Biesla kaingia vipi kwenye kugombania tuzo ya Kocha bora wakat kuna kama Thomas Tuchel kachukua League 1 hajawekwa pale!
Mpe heshima yake JK.
Mkuu namuheshim sana klop na nmkubali na kuna watu nabishana nao sana kati ya klop ya morinyo who is better na kwangu klop is better ingawaje hajamfikia morinyo kwa mafanikio so natambua uwezo wa klop.Ila mtu anavyokuja kiboya boya na kuanza kumponda kocha ambaye amechukua treble wakati liva hamjawahi kufanya ivo na kwa uingereza ni man utd pekee kuchukua 1999 na hata team zilizochukua treble zinahesabika...ukizingatia hata klop na ukubwa wake still treble ajachukua sasa kwanini uniambie nisishangae kocha ambye msimu huu kaondoka na trophy tano ajachukua dhid ya kocha mwnye trophy moja......

Hpa wazungu wamepotea.
 
In 2013 Robert Lewandowski and Jurgen Klopp lost the UCL final to Bayern Munich... Fast forward to 2019 Klopp wins the UCL, followed by Lewandowski in 2020 and Yesterday they both won #TheBest player and Coach 2020 awards...

Friday motivation, keep pushing
 
Mkuu namuheshim sana klop na nmkubali na kuna watu nabishana nao sana kati ya klop ya morinyo who is better na kwangu klop is better ingawaje hajamfikia morinyo kwa mafanikio so natambua uwezo wa klop.Ila mtu anavyokuja kiboya boya na kuanza kumponda kocha ambaye amechukua treble wakati liva hamjawahi kufanya ivo na kwa uingereza ni man utd pekee kuchukua 1999 na hata team zilizochukua treble zinahesabika...ukizingatia hata klop na ukubwa wake still treble ajachukua sasa kwanini uniambie nisishangae kocha ambye msimu huu kaondoka na trophy tano ajachukua dhid ya kocha mwnye trophy moja......

Hpa wazungu wamepotea.
Mkuu hebu niambie Team iliyochukua Continental treble mwaka. 2019 ni timu gani hiyo!?
 
Jones ni future Captain wa Liverpool haha
Mkuu ni sawa na natamani hata Brewster asingeuzwa watolewe tu kwa mkopo...lakini Kila dogo akitokezea anapigwa bei ni noma
Bora Elliot wamempa nafasi nzuri ..mi naamini kwenye kucheza mara kwa mara kwa uhuru kwa madogo ndo kunawajenga.
TAA ashukuru Nathaniel alikuwa na majeraha ya muda mrefu.
Jones pia anakomaa zaidi pale pale ndo mwake.
Bro mi sababu moja wapo ya kuipenda Liver zaidi ni kusikia kipindi kile dogo Michael Owen anatikisa wakina Jaap Stam nami dogo sana wa kitaa nakipiga na mabroo kibishi....ndo maana naumia dogo anapokomaa vizuri alafu anapigwa bei daah!
Ishu ya Brewster ilikua imefikia pambaya kambi yake hawakutaka mkopo tena walitaka wapewe uhakika wa dogo achezw kikosi cha kwanza ina maana angekua ana compete nafasi na wazoefu Bobby, Jota, Origi... Klopp hakutaka kumbakisha aafu asicheze tena dogo angejisikia sio sawa ndio maana wakapewa plan B auzwe ila Liverpool waweke buy back clause kwa future business akihitajika tena nyumbani..

Kuuzwa kwa Brwester ilikua sawa kabisa naispoti kwani kwa level yetu ya ushindani hatuna muda wa trial kwenye ufungaji ndugu... Mtazame pale Blades haja click kabisa am sure na vile wapo mkiani watakua wanaona walipigwa ela pale maana ni record signing....

Kwanza stamina wise Brewster bado kabisa na hili kwa EPL litamsubua maana EPL ni physical league na yeye ni traditional 9 hivyo Klopp alitaka ashuke chini akapate dakika za kutosha ili kumleta upto speed physical wise.. Kama unakumbuka January 2020 alikwenda kwa mkopo Swansea na alifanikiwa sana hivyo Klopp was insisting development yake ipo on track akiwa Championship zaidi ya EPL kwa vile kule anapata minutes za kutosha...

Elliott ni season long loan na hata ikiisha waongeze tena bado hayupo tayari physically kuchukua namba ama kua msaidizi wa Salah... So far anakwenda powa sana assit za kutosha na magoli pia..

TAA ni talent ndugu just like Jones, Rashford, Kane, Mason etc hawa wanahitaji tu dakika uwanjani the rest ni kocha kusema huyu ni wa hapa hapa no loaning...

YNWA
 
ww mahaba yamekujaa huna ujualo.....kwahiyo PSG hawakustahili kufika fainali kwani unasingzia corona kwa bayern kipinf cha corona walikuwa wako juan hawapo dunian nimekwmbia unajua mziki wa kubeba treble au unabwabwaj hapa....nikitoe tu waswas hii habri imekuwa gumzo kila mtu anashangaa klop anachukua tuzo kwa kigezo gan????

Naamin hata klop mwenywe ameshangaa hakutegemea.
Poa Hans kachukua tuzo
 
Jones ni future Captain wa Liverpool haha

Ishu ya Brewster ilikua imefikia pambaya kambi yake hawakutaka mkopo tena walitaka wapewe uhakika wa dogo achezw kikosi cha kwanza ina maana angekua ana compete nafasi na wazoefu Bobby, Jota, Origi... Klopp hakutaka kumbakisha aafu asicheze tena dogo angejisikia sio sawa ndio maana wakapewa plan B auzwe ila Liverpool waweke buy back clause kwa future business akihitajika tena nyumbani..

Kuuzwa kwa Brwester ilikua sawa kabisa naispoti kwani kwa level yetu ya ushindani hatuna muda wa trial kwenye ufungaji ndugu... Mtazame pale Blades haja click kabisa am sure na vile wapo mkiani watakua wanaona walipigwa ela pale maana ni record signing....

Kwanza stamina wise Brewster bado kabisa na hili kwa EPL litamsubua maana EPL ni physical league na yeye ni traditional 9 hivyo Klopp alitaka ashuke chini akapate dakika za kutosha ili kumleta upto speed physical wise.. Kama unakumbuka January 2020 alikwenda kwa mkopo Swansea na alifanikiwa sana hivyo Klopp was insisting development yake ipo on track akiwa Championship zaidi ya EPL kwa vile kule anapata minutes za kutosha...

Elliott ni season long loan na hata ikiisha waongeze tena bado hayupo tayari physically kuchukua namba ama kua msaidizi wa Salah... So far anakwenda powa sana assit za kutosha na magoli pia..

TAA ni talent ndugu just like Jones, Rashford, Kane, Mason etc hawa wanahitaji tu dakika uwanjani the rest ni kocha kusema huyu ni wa hapa hapa no loaning...

YNWA
Mchezaji gani yule mlikua mnampa sifa bure kabisa mchezaji anamaliza dakika 20 hajagusa mpira? Mpaka sasa lile ni galasa tunabahati kupata ile pesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom