weird........ gloves kapewa Manuel, kikosini hayupoAlisson
Alexander-Arnold, Ramos, Van Dijk, Davies
Thiago, De Bruyne, Kimmich
Messi, Lewandowski, Ronaldo
FIFA have named their Men's #World11. Would you make any changes?
#FIFAFootballAwards





weird........ gloves kapewa Manuel, kikosini hayupo![]()
au inawezekana kura za gloves zinakua category tofauti, na hiki kikosi nacho kinapangwa tofauti........Kutakuwa na kimoja kati ya hivyo kinabase kwenye kura na kingine kinabase kutukana naaamuzi ya mezani.
au inawezekana kura za gloves zinakua category tofauti, na hiki kikosi nacho kinapangwa tofauti........
mfano, labda category C. golden gloves, then category H. Fipro XI........
Hongera sana klopp Na wachezaji wetu kwa kutuwakilisha vizuri huko FIFA.
Mkiambiwa msimfananishe mjerumani na takataka zingine muwe mnaelewa
Wazungu nao wadwanzi sana...sasa klop kachukua tuzo kwa maajabu gan???
Ulitaka achukue nani?Wazungu nao wadwanzi sana...sasa klop kachukua tuzo kwa maajabu gan???
Itakuwa zile 8 za barca ndo ttzo FIFA hawakupenda
Muwe mnaangalia na ligi walizopo.
Klop kamzd nn flick acha mahaba.Ulitaka achukue nani?
Arteta?
Siwezi kukuelezea kila kitu kipo wazi yaani jk umfananishe na huyo Hans?Klop kamzd nn flick acha mahaba.
Duh yahn hizo ndo hoja zako sio....unajua mara ya tangu dunia ianze team zilichukua treble hazijafika kumi ....ni ajax, psv, man utd, inter, barca na bayern zimefanya hvyo mara mbili ...sasa flick sio treble kachukua trophy tano na hajapoteza game hata moja UEFA msimu huu.....hafu unakuja unaleta mahaba jitahd uwe na roho kama ya CR7 .Muwe mnaangalia na ligi walizopo.
Hao bayern kila kocha waliyeleta ni yupi alishindwa kuwapa kombe la ligi?
Kwa UEFA sawa kajitahidi huyo kocha.
Ila jk ana consistency nzuri aliingia final akapoteza na Madrid then next season akingia tena final na kubeba UEFA.
ww mahaba jamekujaa una lolote...klop ni mzuri lakn msimu huu kwa flick ameachwa mbali.........Siwezi kukuelezea kila kitu kipo wazi yaani jk umfananishe na huyo Hans?
Watu wengine mna vituko sana..
Huyo Hans msimu huu UEFA utamchukia
Sio kwamba wewe ndo unafosi 1 Iwe mbili?Duh yahn hizo ndo hoja zako sio....unajua mara ya tangu dunia ianze team zilichukua treble hazijafika kumi ....ni ajax, psv, man utd, inter, barca na bayern zimefanya hvyo mara mbili ...sasa flick sio treble kachukua trophy tano na hajapoteza game hata moja UEFA msimu huu.....hafu unakuja unaleta mahaba jitahd uwe na roho kama ya CR7 .
Kwahiyo unabishana na jopo professional lililopiga kura?ww mahaba jamekujaa una lolote...klop ni mzuri lakn msimu huu kwa flick ameachwa mbali.........