Hello!
Nimeamua kuwatag wale Active members wote wa hii Thread kutambulisha hii ID yangu.
I'm KING NGWABA nimeamua kuja na hii ID ambayo ilikuwa Dormant kwa miaka Zaid ya Mitano tokea niitengeneze May 2015 ni sikuwa nikiitumia.
Nimefanya uamuzi huu baada ya Wiki kadhaa Sasa kushindwa kuingia JF kupitia Akaunti yangu halisi ya King Ngwaba na nimeshindwa kujua sababu ni nini.
Nimejaribu kwenye simu zaidi ya 5 nimeshindwa, nimejaribu kwenye Computer nako nimeshindwa, nahisi VPN nilizokuwa natumia kuna nyengine zilikuwa zinaiba na kublock Account za watu.
So, nimekuja na ID hii as King Ngwaba
Penison
Captain Marvelous
Masamila
DullyJr
zumbemkuu
Don Clericuzio
Baba Swalehe
Manga ML
BARDIZBAH
BAKOI
nguvu
Bengalisis