Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hello!



Nimeamua kuwatag wale Active members wote wa hii Thread kutambulisha hii ID yangu.



I'm KING NGWABA nimeamua kuja na hii ID ambayo ilikuwa Dormant kwa miaka Zaid ya Mitano tokea niitengeneze May 2015 ni sikuwa nikiitumia.



Nimefanya uamuzi huu baada ya Wiki kadhaa Sasa kushindwa kuingia JF kupitia Akaunti yangu halisi ya King Ngwaba na nimeshindwa kujua sababu ni nini.



Nimejaribu kwenye simu zaidi ya 5 nimeshindwa, nimejaribu kwenye Computer nako nimeshindwa, nahisi VPN nilizokuwa natumia kuna nyengine zilikuwa zinaiba na kublock Account za watu.



So, nimekuja na ID hii as King Ngwaba



Penison
Captain Marvelous

Masamila

DullyJr

zumbemkuu

Don Clericuzio

Baba Swalehe

Manga ML

BARDIZBAH

BAKOI

nguvu

Bengalisis
Pole sana kwa uliopita
 
Adjustments.jpg
 
According to our sources, Klopp asked Mané "are you a poor finisher?" And he replied "for me no". However, Firmino misheard him and thought he replied with "Firmino". This provoked Firmino to pull Mané's hair follicles.

[@JamesPearceLFC]
 
Wewe acha chuki za hovyo zinakuharibia

Hivi wewe kwa macho yako Gini anafaida kuliko Keita ?
Kama wewe unamuona Keita ana faida Liverpool ni wewe kwa upande wako.

Halafu usirudie tena Mkuu kumfananisha WIJNALDUM na vitu vya KIPUUZI Acha kabisa.
 
Kama wewe unamuona Keita ana faida Liverpool ni wewe kwa upande wako.

Halafu usirudie tena Mkuu kumfananisha WIJNALDUM na vitu vya KIPUUZI Acha kabisa.
Weka stats za performance ya viungo kati ya wawili hao

Niambie unaona sababu ya injuries nitakuelewa ila sio propaganda


Viungo unawa'assess' kwa kuangalia kapiga pass ngapi ,amefanya tackles ngapi,ametengeneza nafasi ngapi za kufunga, ametoa assist ngapi


Kipenzi chako Gini anapiga Square pass kuliko hata Hendo
 
Kama wewe unamuona Keita ana faida Liverpool ni wewe kwa upande wako.

Halafu usirudie tena Mkuu kumfananisha WIJNALDUM na vitu vya KIPUUZI Acha kabisa.
Isijekuwa upo kama jamaa mmoja humu akawa anamtetea Firmino sababu ya mapenzi mpaka akasema eti "wanaotuangushaga ni Salah na Mane"
 
Kwamba hujui kama EPL ni mashindano tofauti na UEFA?

Najua unajua ila umetafuta kichaka cha kujifichia.

Nitajie timu unayoshabikia nikupe matokeo yake Anfield kwa miaka hii minne.

To be clear: Mara ya mwisho Liverpool kufungwa Anfield kwenye Ligi ilikuwa tar 27 April 2017, ni zaidi ya miaka mitatu na nusu. A record your team can dream of.

Mkuu waache wapige kelele hao,mourihno atajiona hajui pale anfield.
 
Weka stats za performance ya viungo kati ya wawili hao

Niambie unaona sababu ya injuries nitakuelewa ila sio propaganda


Viungo unawa'assess' kwa kuangalia kapiga pass ngapi ,amefanya tackles ngapi,ametengeneza nafasi ngapi za kufunga, ametoa assist ngapi


Kipenzi chako Gini anapiga Square pass kuliko hata Hendo
Muda wa kutafuta statistics za Liability player kama Keita sina.

Keita is more than a liability kwa Club.......He is a big Liability .
That's not a Footballer.

19 yrs old local lad CURTIS JONES was far better than £48 ml Keita.
 
Ni open forum mkuu, binafsi natembelea nyuzi zote timu ishinde au isishinde.

Tatizo lenu Chelsea mmeji overrate sana, mnataka mzungumziwe kwa kiwango kisicho chenu, when it comes to Liverpool you are just an average team. Nikihitaji matokeo kutoka kwenu nayapata anytime.
Ulikuwa wapi hizyo miaka 30 yote ambayo ulikuwa huna ubingwa wa EPL ilihali tangu Mourinho atue Chelsea 2003 hadi sasa tumeshabeba EPL zaidi ya mara 6? Tunza akiba ya maneno NARUDIA TENA "tunza akiba ya maneno"

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba hujui kama EPL ni mashindano tofauti na UEFA?

Najua unajua ila umetafuta kichaka cha kujifichia.

Nitajie timu unayoshabikia nikupe matokeo yake Anfield kwa miaka hii minne.

To be clear: Mara ya mwisho Liverpool kufungwa Anfield kwenye Ligi ilikuwa tar 27 April 2017, ni zaidi ya miaka mitatu na nusu. A record your team can dream of.
Still a lot of records are there to be broken, then what is a strange case under this world? Proceed to memorize there yourself by being hidden under historical background records though the world is moving ahead and not backwards movement.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Still a lot of records are there to be broken, then what is a strange case under this world? Proceed to memorize there yourself by being hidden under historical background records though the world is moving ahead and not backwards movement.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app

Ungeandika kiswahili mkuu.
 
Muda wa kutafuta statistics za Liability player kama Keita sina.

Keita is more than a liability kwa Club.......He is a big Liability .
That's not a Footballer.

19 yrs old local lad CURTIS JONES was far better than £48 ml Keita.
Weka Statistics ku"back up" mashambulizi yako kijana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom