Mkuu muda mwingine mashabiki tunashikwa na hasira sana kwenye hili swala la injury.
Wachezaji muda mwingi wanakuwa wako nje,wanacheza mechi chache sana.
Sasa mambo kama hayo ni mtu unashikwa na hasira bora kuwaondoka tu kwenye timu,maana unakuta msimu wa pili sasa muda mwingi ametumia kukaa nje,sasa kila mchezaji hakiwa hivyo nani atacheza uwanjani.
Kuna muda mashabiki tunaona ni vizuri tukawa na wachezaji wanao cheza kila mechi ili iwe vizuri klopp kupanga kikosi kulingana na mpinzani.
Mimi binafsi ile mechi na atletico kukosekana allison nilikasilika sana nilipata hasira kwamba huyu allisson ni wakuuzwa tu,maana inavyoonekana hawezi kumaliza msimu bila ya kuumia zaidi ya mara 3.
Sasa hivi akirudi February pale kwenye uefa ndio tunaitaji ushindi kila mchezaji tunataka awepo yeye atakuwa ameumia tu.
Ni bora asiwepo tu,tusiwe tunamtegemea.
Pia ni vizuri kwenye kusajiri kuwa na wachezaji wasio umia hovyo hovyo,kama hao tunao wategemea sasa,ikiwa hivyo ubingwa tunakuwa tunatangaza mapema sana tu.
Unajua Injuries are unpredictable.
Signings zote ambazo hizi clubs hufanya huwa ni "Kamari", because hauwezi jua once mchezaji akisha-sign atakumbwa na madhira gani uwanjani au hata nje ya uwanja..
Personally, sijawahi kupoteza interest kwa mchezaji kutokana na injuries, as long as mchango wake kwa team akiwa fit huwa ni mkubwa, you see, players na wenyewe ni binadam, huwa wanaumia sana mentally wakiwa wanasumbuliwa na injuries, because inamaanisha kuwa career zao zinakuwa siyo kama vile walivyotegemea, so blaming/cursing players kwasababu wana-suffer from injuries siyo sportsmanship kabisa.
lets say, kuna wachezaji ambao wanapata big injuries, na kupoteza kabisa pace/movements/sharpness etc, hawa wanaishia kuwa mzigo kwenye team, na Club/Coach pamoja na fans wanakuwa right kabisa kuomba/kumuondoa kwenye team, for the betterment ya the whole club, because mchango wao unakuwa mdogo sana.
At LFC, mchezaji ambaye ana-suffer sana na injuries ni JOEL MATIP, but akiwa fit unaona mchango wake ulivyo mkubwa sana, so you cant just sell mchezaji wa aina hii kama hauna good plan ya kum-replace, a fit Matip is a world class CB, unatakiwa kum-replace na a very good CB, na ndiyo maana unaona Club inaendelea ku-risk mpaka pale itakapopata m-badala sahihi kabisa wa Matip, but kama Matip angekuwa kapoteza uwezo kabisa sidhani kama angekuwepo LFC mpaka sasa, but unamuona now anavyo-step up kipindi ambacho VVD na Gomez hawapo, na anachofanya Klopp now ni ku-manage his minutes.
Case, ya Keita ni kuwa kama anataka ku-savs his LFC career ni lazima achague kati ya Guinea AU LFC, ana tatizo la Muscular, na kila akienda Guinea anali-trugger, Klopp hajamkatia tamaa kwasababu ya umri wake (24), na pia ni kwasababu ni one of his record signings and on top of that kila akiwa fit mchango wake unaonekana, but anatakiwa ajiongeze now, kama anataka ku-save his LFC career.
Mfano mdogo ni Shaqiri, he can be out for atleast 3 months, but akirudi anakushindia mechi ngumu sana, tumeona msimu huu, na ndiyo maana Klopp hataki kumuuza, ni hidden card, teams zingine hazina watu kama hawa, we're so lucky to have players kama Shaqiri.
We're right to demand player's fitness & availability, but katika kipindi hiki ambacho tupo kwenye injury crisis, tunatakiwa tuache Club i-manage players kwa umakini sana, VVD & Gomez are out for the season, so we're so short at the back, so an injury to Matip or Fab, and we'll have to rely on Nat/Rhys mpaka Jan, and its not good when ukiangalia form ya Spurs na Chelsea, plus a MF of Hendo/Gini/Curtis needs a solid back line to sustain their vulnerbility in the middle, we're in crisis, we're managing hii situation kwasababu ya Klopp, na WC players kama Fabinho (most important player in the squad right now), Matip, Gini (his availability and good form), Mane, Salah and Jota (Yes, Jota, form yake right now inatusaidia sana interms of goals-return) so unaweza kuona kuwa tunahitaji players like Thiago/Keita/Shaqiri & Ox kuwa managed vizuri ili waje kusaidia kuanzia mid dec- March, when hawa players wanaocheza kwa nguvu sana (especially the whole MF) wakiwa fatigued and out of form.
Going forward, we'll need players with good availability record, but for now, lets stick & trust hawa tulionao kwanza, and see out this season, funny thing is, tuna wachezaji si chini ya tano-sita ambao wana good availability record (Gini, Robertson, Trent, Salah, Mane & Firmino), wengine wote wanapata matatizo ya mara kwa mara, but kwa kuwa msimu huu tumekumbwa na injury crisis kubwa, tunaona vitu kwenye clear picture, but in reality tumekuwa na tatizo kubwa sana la fitness, lakini Klopp ameweza kuli-manage.