Natamani mkutane na semion tena
Awaoneshe kuwa hakubahatisha kuwapiga nje ndani
Barcelona kila mtu anamtamanAu Barcelona turudie kichapo???




Chelsea wameota mapembe, naona wanamtaka buyern![]()
Aje atletico ili tuwaonyeshe kuwa tunajua, msimu uliopita walibahatisha mitaani washabiki wa kukodi walichonga sana