Tulishawahi ku-discuss hapa kuwa, kuwapa mikataba mikubwa basic british players kama kina Henderson, Ox, Lallana etc, kuta-set bad trend kwa other players, now Gini anajiona ni bora kuliko Hendo/Ox and Keita, ukiachilia mbali kuwa analipwa pesa ndogo kuliko hawa, pia hatotaka kulipwa sawa na hawa pia, fitness yake inamfanya ajione ana umuhimu kama wa kina Salah/Mane/Firmino/VVD/Alisson/Fabinho etc, he's right kwa upande wa fitness, he's not a special player but you can always count on him kuwa fit and readay to go to war, but i understand the club, at 30 tayari ni too late ku-offer a bumper deal, offer yake bado ipo mezani, so suala ni yeye tu kukubali, offer ya club haijawahi kubadilika.