mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,180
- 3,458
King of the cups the mighty reds


Napenda Hii spirit hongera mwanaJamaa kiukweli inauma sana kukosa kuiona talent ya Keita sababu ya injuries, kuna game ya UEFA dhidi ya Salsberg alikichafua pia. Tulikuwa ugenini tutashinda 2 bila.
Hata game ya Man Utd tulishinda 3 kwa 1 Anfield, yeye na Shaqir walicheza vizuri mno.
Dogo anazidi kujiwekea nafasi ya kuuvunja utatu wa Salah, Mane na Bobby.
Kidogo nimeona improvement kwa Bobby, namba iko mashakani.
Hii kweli uenda tulipigwa jana, hahahahahah



mbona mm naona kama goli au kwenye matumizi ya goal technology mm ndo niko bashite sana?
Hiki kitu kuna siku nilikisemaGINI aongezewe Mkataba
Mkuu me naona hii formation itadhohofisha defence yetu sana labda tupate CB mwingine mzuri wa kusimama na VVD ipasavyo.Ata wawachezesha wote wanne kwa formation ya 4-2-3-1
Sheria inasema mpira hauruhusiwi kugusa mstari hata nukta, kwa picha hiyo mpira bado umegusa mstariHii kweli uenda tulipigwa jana, hahahahahahmbona mm naona kama goli au kwenye matumizi ya goal technology mm ndo niko bashite sana?
Okay sawa mkuu ahsante sanaSheria inasema mpira hauruhusiwi kugusa mstari hata nukta, kwa picha hiyo mpira bado umegusa mstari