Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Matip, Robbo, Fabby, Thiago na Keita wako fit kwa ajili ya game.

Utabiri wa kikosi

Golini: Allison.

Beki: Milner, Robbo, Matip na Fabinho.

Katikati: Thiago, Keita na Gini.

Mbele: Jota, Mane na Firmino.

Tutashinda kwa 3 - 1.
Duh mwenzio Keita nilishanyanyua mikono juu kabisaaaaa huyu ni wa kuuzwa period...

Aanze Jones ni fresh legs ili Gini asaidie upande wa Milner kupeleka mashambulizi mbele...

YNWA
 
Duh mwenzio Keita nilishanyanyua mikono juu kabisaaaaa huyu ni wa kuuzwa period...

Aanze Jones ni fresh legs ili Gini asaidie upande wa Milner kupeleka mashambulizi mbele...

YNWA

Bado nina benefit of doubt kwake, hasa kipindi hiki cha wagonjwa wengi.

Ninaweka Imani ya mwisho kwake kipindi hiki.
 
Bado nina benefit of doubt kwake, hasa kipindi hiki cha wagonjwa wengi.

Ninaweka Imani ya mwisho kwake kipindi hiki.
Ile jezi namba 8 sijui ni nzito kwake yaani...

kama sikosei gemu yetu ya kwanza na West Ham Anfield msimu wa 2018-2019 ndio Keita alicheza kama Keita mwenye hadhi ya £60m baada ya hapo sijamwelewa kabisa na sitegemei kumwelewa tena huyu dogo...

Kwangu bado nasimama na Jones ana mapafu ya paka huyu na kwa vile tupo pungufu kiaina basi angetufaa sana...

YNWA
 
Duh mwenzio Keita nilishanyanyua mikono juu kabisaaaaa huyu ni wa kuuzwa period...

Aanze Jones ni fresh legs ili Gini asaidie upande wa Milner kupeleka mashambulizi mbele...

YNWA
Keita ni mchezaji mzuri Sana bahati mbaya ana injuries

It's people like you who would give up on keita but still be hopeful of Ox

Smdh
 
Ila kiukweli Keita ile game ya west ham ndo siku alicheza kiwango kuliko siku ingine yoyote.
Ile jezi namba 8 sijui ni nzito kwake yaani...

kama sikosei gemu yetu ya kwanza na West Ham Anfield msimu wa 2018-2019 ndio Keita alicheza kama Keita mwenye hadhi ya £60m baada ya hapo sijamwelewa kabisa na sitegemei kumwelewa tena huyu dogo...

Kwangu bado nasimama na Jones ana mapafu ya paka huyu na kwa vile tupo pungufu kiaina basi angetufaa sana...

YNWA
 
Ile jezi namba 8 sijui ni nzito kwake yaani...

kama sikosei gemu yetu ya kwanza na West Ham Anfield msimu wa 2018-2019 ndio Keita alicheza kama Keita mwenye hadhi ya £60m baada ya hapo sijamwelewa kabisa na sitegemei kumwelewa tena huyu dogo...

Kwangu bado nasimama na Jones ana mapafu ya paka huyu na kwa vile tupo pungufu kiaina basi angetufaa sana...

YNWA

Jamaa kiukweli inauma sana kukosa kuiona talent ya Keita sababu ya injuries, kuna game ya UEFA dhidi ya Salsberg alikichafua pia. Tulikuwa ugenini tutashinda 2 bila.

Hata game ya Man Utd tulishinda 3 kwa 1 Anfield, yeye na Shaqir walicheza vizuri mno.
 
Jamaa kiukweli inauma sana kukosa kuiona talent ya Keita sababu ya injuries, kuna game ya UEFA dhidi ya Salsberg alikichafua pia. Tulikuwa ugenini tutashinda 2 bila.

Hata game ya Man Utd tulishinda 3 kwa 1 Anfield, yeye na Shaqir walicheza vizuri mno.
Mkuu sidhani kama kuna shabiki wa Liverpool ana doubt na hii talent ya dogo Keita...

Kwanza itakua ajabu sana kutoa £52m plus adds on kwa mchezaji ambae sio level za juu...

Keita wa RB was worth that much ila sasa Keita wa Liverpool is not worth £20m+ majeruhi yamemmaliza na kuonekana mzigo aisee...

Baada ya makali ya Covid kupungua na EPL kuanza upya Keita amepata nafasi nyingi lakini performance yake imekua sio kiwango cha chini mno kiasi binafsi nasema atumike kama bargaining player kumnunua Dayot January hii...

Makali ya EPL yamemshinda ni wakati arejee RB huyu...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom