Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
Bob alivofunga team nzma imeenda kushangilia Hadi Allison
.wanajua boy is under the spell and that is good
Teamwork
.wanajua boy is under the spell and that is good
Teamwork


Amewasikia 😂😂 😂 😂 ....Firmino ingekuwa bongo wangesema amepigwa misumari
😂😂😂😂Amewasikia 😂😂 😂 😂 ....
YNWA
Haka kaneco Wiliam ni kazuri lakini bado kadogo sana kwa EPL
Tumeshaimaliza game sasa wacha niangalie udambwidambwi wa Jones
YNWA Well Done Well Done I Met Her in Liverpool
Hahaha kakosa goli 2 za wazi sana...😂😂😂😂
Timu nzima wamemkumbatia maana alikuwa anaitaji maombi
Mkuu huyu jone nikimuonaga,namfananisha sana na Captain Henderson na mnaanavyocheza.
Foxes tujuane mapema
Apambane we need himHahaha kakosa goli 2 za wazi sana...
Akizidi kujituma makali yatarudi..
YNWA
Simply, tonight's the best performance of the season so far.
SpeakFoxes tujuane mapema