one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,325
Ahaha mkuu Hii ligi mwaka huu imekuwa na maajabu sana unaeza shangaa EPL ikachukuliwa na midtable team.Nashindwa kuwalaumu sana misimu mi 3 mmepiga mpira wa nguvu sna na kikosi kilikuwa finyu all in all mpira una maajabu yake ukinaswa ndio hivyo tena mara wiki mara 6 mara 5 za city
Aisee ,kweli hii dunia sio yetu..
Tutainuka tena , bora mwanzoni kuliko mwishoni.
#YNWAView attachment 1590645
Duh kweli mzee si tumeona kwa matokeo ya janaSioni wa kutupiga pale EPL labda timu zikijitahidi zipate droo. EPL inarudi Anfield
Liverpool hawana deep squad. Kukosekana kwa mane mbele imekuwa butu. Kukosekana kwa Alisson golini kumeonekana janaGoli 7 unasema wameshinda kwa taabu.visingizio havikosekani.wewe kubali kuwa mmefungwa kwa uhalali sio tena unaanza kusema mara hao kwa taabu
Hata kama ingekuwa Alisson, zile deflections asingeweza kuzizuia, labda angepunguza magoli kutoka 7 kwenda 5 hiviHakuna,
Mimi nimecheki game alfa na omega, goli 4 ni deflection wamemuuza mabeki, na hayo mengine mawili counter mabeki wamechomesha, moja penaΘi, tena amesave 1 against 1 kama mbili hivi, ambazo leo hii tungekuwa tunazungumzia 9 kwa 2,
Kipa kajitahidi sana tena sana
Tunachukua vyoteOk naona mnataka epl na uefa tu ,lakin hivo vikombe vinawakataa mapema sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Labda mnajiandaa kutoka empty this season
Majogoo Yamepigwa goli za Haja acha yalale tuππππKwa raha gani mlizonazo hadi mnalala na kukoroma hivi? [emoji2772][emoji3577]
Hahaha pale mna VVD na Gomez mnawaza nini..mwacheni Adrian tu πππHivi hatuwezi chezesha kipa wa under 23??
Hahaha pale mna VVD na Gomez mnawaza nini..mwacheni Adrian tu πππHivi hatuwezi chezesha kipa wa under 23??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama ingekua rahisi hivi hata Arsenal wangekua wanatamba humuHuu ndio muda sahihi wa kuweka gap ubwa la point na Pep.
Looh looh [emoji23][emoji23][emoji23]Sioni wa kutupiga pale EPL labda timu zikijitahidi zipate droo. EPL inarudi Anfield
We jamaa uliyajuaje haya? Utakua mchawi tu wewe[emoji23]Aston Villa japo tumemuuza Samata ila tuna jambo letu leo..
Sisi kama Aston Villa kuna jitu leo tunalikalisha.
#AVnguvumoja[emoji123][emoji123][emoji123]