Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,524
- 5,782
shabiki wa asenane kushinda kamechi ka karabao kwa penati, takataka kama takataka !tuwaombe Man U (Pundamilia Fc) pamoja na Ng'ombe Fc(Chelshit) waanze tu kujiandaa na msimu ujao wa 2021/2022.... Huu wa 2020/2021 umeshawashinda... Hawana chao.... Waandike barua FA waende Pre season Malaysia huko na Japan wajiandae na msimu ujao![]()


Kuna dogo wa liver nimemuona jana, yaani akishika mpira mguuni, kuuchukua inabidi uite polisi.