Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

tuwaombe Man U (Pundamilia Fc) pamoja na Ng'ombe Fc(Chelshit) waanze tu kujiandaa na msimu ujao wa 2021/2022.... Huu wa 2020/2021 umeshawashinda... Hawana chao.... Waandike barua FA waende Pre season Malaysia huko na Japan wajiandae na msimu ujao
shabiki wa asenane kushinda kamechi ka karabao kwa penati, takataka kama takataka !
 
Naona Klopp hayupo serious na penalties. Man City, Arsenal wote wametupiga kwa penalties kwenye community shield leo tena the same shit.

Penalties ni sehemu ya mchezo hasa kwenye knock out stages. How comes the team a’int getting better?

And he just sees no problem. Kwenye press utamsikia tu na majibu rahis Oh we’ll come even stronger, So what??

Na hii second team na yenyewe haijielewi at all nadhani hizi ndio fursa kwao kupamba ili ku-push on wasonge mbele ili wapate more games to play and improve unfortunately wakifika golini wanaruka ruka.

I am disappointed sio tumefungwa bali tumefungwa kwa style ile ile
 
Eti jogoo amefanywa kitoweo, kachinjwa kapikwa mchemsho safiii kabisa. Alisikia shabiki wa asernane akisema


Anyway ndiyo mpira ulivyo, ni either u'win, draw or loss. Mashabiki wa Liverpool tulale kwa amani, EPL bado ipo....

Samahani wewe ni KE au ME? (Lengo ni kujua Msamiati wa Kutumia wakati wa kukuquote kwa mfano Bro/Sister/Mkuu/Dada/Brother/Wee Jamaa/Kaka/Kijana n.k.

Pia nataka kujua wewe ni Mshabiki wa Timu gani Coz Mimi Nina kauli natumia hapa JF.

✔ Kuna zile kauli za Kistaarabu natumia kwa Washabiki wenzangu tu wa Liverpool hata kama tumetofautiana.
✔ Na kuna kauli zisizo za kistaarabu huwa natumia kwa baadhi ya Washabiki wasiokuwa wa Liverpool.

Asante.
 
Grujic ni bonge la midfielder, haitokuwa wazo zuri kumtoa kwa mkopo ama kumuuza. Namuona kama ni replacement nzuri ya Wijnaldum.
Ishu mkuu dogo ana miaka 24 ana uhitaji wa dakika za kutosha uwanjani na pia ukumbuke hata msimu uliopita kwenda kwa mkopo ilikua kama alifosiwa hakua na utayari..

Bayern Monchengladbach nadhani wapo UCL hio ndio doto yake kuu kucheza levo hizo...

Kwa sasa Klopp anakomaa na Gini aongeze mkataba mapema kabla ya Januari hivyo tusubiri mpaka tarehe 5 tuone kama Grujic atakuwepo ama la...

YNWA
 
Klopp anazingua.
Mkuu sidhani kama ni Klopp...

Jana hit and miss zilikua nyingi tu...

Kwenye mechi za mtoani kutokua clinical golini huleta majuto..

Nafasi tulipata nyingi tu na Leno jana he meant business ali rise to the occasion wakati wote...

Kikosi B bado kipo kwenye transition haha tuwe na subira...

Ukiona akina Mane, Salah, Firmino nk wanapewa dakika nyingi EPL ndio ujue Klopp anaona mengi mazoezini... Jana nafasi walitengeza nyingi tu lakini hawakua na umakini golini hilo ndio limetuangusha...

YNWA
 
Ishu mkuu dogo ana miaka 24 ana uhitaji wa dakika za kutosha uwanjani na pia ukumbuke hata msimu uliopita kwenda kwa mkopo ilikua kama alifosiwa hakua na utayari..

Bayern Monchengladbach nadhani wapo UCL hio ndio doto yake kuu kucheza levo hizo...

Kwa sasa Klopp anakomaa na Gini aongeze mkataba mapema kabla ya Januari hivyo tusubiri mpaka tarehe 5 tuone kama Grujic atakuwepo ama la...

YNWA

Akiondoka Gini tutakuwa kwenye Serious problem! You know why?

Gini ndiye Midfielder pekee ambaye ni injury free.

Hawa kina Keita, Hendo, Thiago na OX ni kutembea na Spana mkononi tu.
 
Mkuu sidhani kama ni Klopp...

Jana hit and miss zilikua nyingi tu...

Kwenye mechi za mtoani kutokua clinical golini huleta majuto..

Nafasi tulipata nyingi tu na Leno jana he meant business ali rise to the occasion wakati wote...

Kikosi B bado kipo kwenye transition haha tuwe na subira...

Ukiona akina Mane, Salah, Firmino nk wanapewa dakika nyingi EPL ndio ujue Klopp anaona mengi mazoezini... Jana nafasi walitengeza nyingi tu lakini hawakua na umakini golini hilo ndio limetuangusha...

YNWA
Tukitaka kuwatoa huwa tunawapa kikosi B akina Saka tumeona akina Abu mnawaweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dogo wa liver nimemuona jana, yaani akishika mpira mguuni, kuuchukua inabidi uite polisi.
Xhaka kuna mida alikuwa kaachwa hatua chache kwa kuogopa pressing za haraka, ikabidi amshike jezi, bukta na shingo, aibu nimeona mimi.
Anaitwa nani huyo dogo! Ni mrefu hivi, mi sijamshika jina.
Jambo lingine, arteta yupo tofauti na makocha wenzake wa timu kubwa, vikombe vya mchangani anavikamia sana, ndiyo anapotegemea kujijengea cv yake.
Arsenal wasipojiangalia, wamepata msanii mwingine mara tatu ya wenger, kwa hiyo makombe ya maana arsenal wasahau kabisa.
 
Kuna dogo wa liver nimemuona jana, yaani akishika mpira mguuni, kuuchukua inabidi uite polisi.
Xhaka kuna mida alikuwa kaachwa hatua chache kwa kuogopa pressing za haraka, ikabidi amshike jezi, bukta na shingo, aibu nimeona mimi.
Anaitwa nani huyo dogo! Ni mrefu hivi, mi sijamshika jina.
Sio dogo yule... Anaitwa Marco Grujic kiungo mzuri ambaye Liver haijawahi kuonyesha kama inamuhitaji
 
Mkuu sidhani kama ni Klopp...

Jana hit and miss zilikua nyingi tu...

Kwenye mechi za mtoani kutokua clinical golini huleta majuto..

Nafasi tulipata nyingi tu na Leno jana he meant business ali rise to the occasion wakati wote...

Kikosi B bado kipo kwenye transition haha tuwe na subira...

Ukiona akina Mane, Salah, Firmino nk wanapewa dakika nyingi EPL ndio ujue Klopp anaona mengi mazoezini... Jana nafasi walitengeza nyingi tu lakini hawakua na umakini golini hilo ndio limetuangusha...

YNWA

Mimi nimeumizwa na kile kikosi alichopanga, nitakuwa siangalii game za Liverpool za FA na Carabao kwa mtindo huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom