GwamahalaJR
JF-Expert Member
- Jul 18, 2019
- 414
- 769
Hii ndiyo champions league yenu hiiAsante kaka huu ndio uungwana. ..... Asanteni kwa kushiriki.
#tunawaahidi Looserfools hatutawaangusha. Tutalibeba hili kombe.



Hii ndiyo champions league yenu hiiAsante kaka huu ndio uungwana. ..... Asanteni kwa kushiriki.
#tunawaahidi Looserfools hatutawaangusha. Tutalibeba hili kombe.



Mbaya sana wewe.I miss 'em
Alexander Arnold
Sedio Mane
Keita
Kwa kumbukumbu zangu zilizo sahihi ulikuwa Manchester Unitedchaliifrancisco we wanifahamu vyema, pls nisaidie kumjibu huyu Darmian.
Pole kwa Ban.Naona tuna na shabiki mpya @Depal karibu sana.
Duh, kwahiyo wewe upo huko na hukoPole kwa Ban.
Asante kwa ukaribisho ila me sio shabiki mpya wa Liverpool. Niko muda tu ila sikuwa niki'comment then huu msimu najiona kuwa addicted na mpira that's why na'appear kwa sana.
Niko hapa, niko na kule The Blues
![]()




Kwahiyo wewe ni Tetracycline?Pole kwa Ban.
Asante kwa ukaribisho ila me sio shabiki mpya wa Liverpool. Niko muda tu ila sikuwa niki'comment then huu msimu najiona kuwa addicted na mpira that's why na'appear kwa sana.
Niko hapa, niko na kule The Blues
![]()
Pamoja sana mkuuDullyJr, Aaron Arsenal na Pweza Boy hongereni sana kwa ushindi..
YNWA
Grujic ni bonge la midfielder, haitokuwa wazo zuri kumtoa kwa mkopo ama kumuuza. Namuona kama ni replacement nzuri ya Wijnaldum.Kuna uwezekano kabla ya dirisha kufungwo wachezaji wafuatao wakaodoka mazima ama kwa mkopo kwa vile mechi zinapungua kwetu tumebakisha FA, UCL na EPL..
> Rhian Brwester
> Grujic
> Shaqir
> Wilson
> Van den Berg
> Yasser
> Woodburn
YNWA
Akili za Klopp kama za King Ngwaba wanasemaga haya makombe ni mickey mouseIfike mahali klopp awe siriaz na hivi vikombe vidogo naona anavichukulia powa



Kwani hivi tukichukua hiyo carabao na ligi shida inakuwa wapi?Akili za Klopp kama za King Ngwaba wanasemaga haya makombe ni mickey mouse
Wanadai makombe ni mawili tu EPL na UCL![]()
Sisi sio wachovu bhana ,Kwani hivi tukichukua hiyo carabao na ligi shida inakuwa wapi?
Ni aibu kutolewa na wachovu kama nyie
Hiyo UEFA wababe ndo sisi nyie chezeni na bristorn city huko makorongoniSisi sio wachovu bhana ,
Kwa Leo mmeshinda kumbuka next time there will be no mercySisi sio wachovu bhana ,





