Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Game ya Jana sikuangalia kwa makusudi kwasababu niliamini tutatolewa Carabao kwasababu Klopp havichukulii serious hivi vikombe vya Mickey Mouse Cups.

Hivyo tukaze tu kwenye EPL na UCL.

Atalanta na Ajax si wa kubeza


Swali watu wanajiuliza lini klopp atayachukulia serious haya makombe kama FA na carabao
 
Akiondoka Gini tutakuwa kwenye Serious problem! You know why?

Gini ndiye Midfielder pekee ambaye ni injury free.

Hawa kina Keita, Hendo, Thiago na OX ni kutembea na Spana mkononi tu.
Gini akiwa na miaka 8 alicheza center half na akiwa na miaka 11 alicheza beki wa kulia..

Historia yake inaonyesha popote ukimpanga anakicheza vyema, akiwa Newcastle alikua anatumika kama namba 10..

Kote alipopita hajawai kua na historia ya majeruhi ya mara kwa mara na ndio maana pamoja ja Liverpool kusheheni mido za nguvu lakini Klopp anakomaa nae kwa vile ukiachana na Firmino aliecheza dakika nyingi zaidi tangu Klopp atue anaefuta kucheza dakika nyingi ni Gini na hii sio kwa bahati mbaya mbali anajua kujilinda hivyo kutoumia mara kwa mara...

Klopp bado anamhitaji tatizo lilopo ni Liverpool wanampa mkataba wa miaka 2 na yeye anataka miaka 3..

Wanaedelea na mazungumzo na raha kwetu kuona anabaki Liverpool..

muhimu wake Gini inabidi kutazama kwa umakini sana kazi yake chini ya Klopp ambapo ni king of offensive and defensive na hili analimudu vyema kwa vile yupo flexible kucheza nafasi zote kasoro LB na Golkipa..

HHakika huyu sio wa kuodoka kutuacha na ma super pancha na super bams..

YNWA
 
Origi alitaka kujiona Ronaldo kumbe ni Mapung'o! Unarudije hatua tatu nyuma kupiga penalty wakati ni tia maji tia maji
Hata mechi ya kwanza ilitakiwa atolewe haonyeshi ari yoyote ni mtu aliejikatia tamaa hakutakiwa kupangwa hajitumi.

Sijui kwa nini Glujic hakubaliki kiwango alicho unesha hizi mechi mbili alistahili kubaki bora andoke Gini
 
Kuna dogo wa liver nimemuona jana, yaani akishika mpira mguuni, kuuchukua inabidi uite polisi.
Xhaka kuna mida alikuwa kaachwa hatua chache kwa kuogopa pressing za haraka, ikabidi amshike jezi, bukta na shingo, aibu nimeona mimi.
Anaitwa nani huyo dogo! Ni mrefu hivi, mi sijamshika jina.
Jambo lingine, arteta yupo tofauti na makocha wenzake wa timu kubwa, vikombe vya mchangani anavikamia sana, ndiyo anapotegemea kujijengea cv yake.
Arsenal wasipojiangalia, wamepata msanii mwingine mara tatu ya wenger, kwa hiyo makombe ya maana arsenal wasahau kabisa.
Mkuu acha kumdharau kocha wetu, Arteta kapita mikono ya Pep, ana mentality yakutodharau kombe lolote , alishalisema hili , kuwa tunaliita carabao lakini mwisho wa siku ni kombe

Yupo kwenye ujenzi wa timu , why adharau hivi vikombe , wakati ndio vinamjengea CV ,
Swala la mataji makubwa litakuja tu. , Baada ya kujenga mentality kwenye carabao , na FA cup.

Alisema yeye atalichukulia serious , na akitoboa Nusu tu, Anaweka kikos chote
 
Mimi nimeumizwa na kile kikosi alichopanga, nitakuwa siangalii game za Liverpool za FA na Carabao kwa mtindo huu.
Klopp bhana sijui hivi vikombe anavichukulia aje aisee...

Kwa ukubwa wa kikosi kilichopo hii mechi ilikua ya kushinda ili vijana wazidi kupata dakika na kupunguza maneno kwa wale ambao watakua hawapati nafasi kwenye UCL na EPL...

YNWA
 
Grujic habari nyingine. Asiuzwe huyu jamaa. He still young abakishwe then uza Gini
Yaani Grujic abakie auzwe Gini 🙄🙄🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔.....

Klopp hapangiwi hahaha..

Gini kuuzwa kwake labda akomae kwenda Barcelona kupata challenge mpya na ishu za mkataba mrefu na mkwaja pia..

Grujic sio levo za Gini ndugu..

Ni raw talent na Gini ni proven talent..

YNWA
 
Klopp bhana sijui hivi vikombe anavichukulia aje aisee...

Kwa ukubwa wa kikosi kilichopo hii mechi ilikua ya kushinda ili vijana wazidi kupata dakika na kupunguza maneno kwa wale ambao watakua hawapati nafasi kwenye UCL na EPL...

YNWA
Yaan klop kwa dharau kabisa akaamua na van dijk,salah na jota awatoe hiyo ni kuonyesha hichi kikombe sikihitaj
 
Yaan klop kwa dharau kabisa akaamua na van dijk,salah na jota awatoe hiyo ni kuonyesha hichi kikombe sikihitaj
Klopp anashambulia EPL hivi vi mickey mouse in King Ngwaba keyboard ni by the way 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓..

Wale walitolewa kwa kutazama game ya jumapili vs Aston Villa...

Uwezo wao umeishia pale walijitahidi...

YNWA
 
Kuna dogo wa liver nimemuona jana, yaani akishika mpira mguuni, kuuchukua inabidi uite polisi.
Xhaka kuna mida alikuwa kaachwa hatua chache kwa kuogopa pressing za haraka, ikabidi amshike jezi, bukta na shingo, aibu nimeona mimi.
Anaitwa nani huyo dogo! Ni mrefu hivi, mi sijamshika jina.
Jambo lingine, arteta yupo tofauti na makocha wenzake wa timu kubwa, vikombe vya mchangani anavikamia sana, ndiyo anapotegemea kujijengea cv yake.
Arsenal wasipojiangalia, wamepata msanii mwingine mara tatu ya wenger, kwa hiyo makombe ya maana arsenal wasahau kabisa.
Glujic ajabu hatakiwi na Gini na milner Hendo wanazeeka dah.

Natumai benchi litafikilia upya baada ya hizi mechi 2 kuonyesha uwezo
 
Yaani Grujic abakie auzwe Gini .....

Klopp hapangiwi hahaha..

Gini kuuzwa kwake labda akomae kwenda Barcelona kupata challenge mpya na ishu za mkataba mrefu na mkwaja pia..

Grujic sio levo za Gini ndugu..

Ni raw talent na Gini ni proven talent..

YNWA
Upo sawa ila Gini yupo mwisho Glujic yupo mwanzo ni bora hata wabakie wote awe anapewa dakika 30 za Gini
 
Kuna dogo wa liver nimemuona jana, yaani akishika mpira mguuni, kuuchukua inabidi uite polisi.
Xhaka kuna mida alikuwa kaachwa hatua chache kwa kuogopa pressing za haraka, ikabidi amshike jezi, bukta na shingo, aibu nimeona mimi.
Anaitwa nani huyo dogo! Ni mrefu hivi, mi sijamshika jina.
Jambo lingine, arteta yupo tofauti na makocha wenzake wa timu kubwa, vikombe vya mchangani anavikamia sana, ndiyo anapotegemea kujijengea cv yake.
Arsenal wasipojiangalia, wamepata msanii mwingine mara tatu ya wenger, kwa hiyo makombe ya maana arsenal wasahau kabisa.
Alisema "Nitachukulia serious kila kikombe
 
Kuna dogo wa liver nimemuona jana, yaani akishika mpira mguuni, kuuchukua inabidi uite polisi.
Xhaka kuna mida alikuwa kaachwa hatua chache kwa kuogopa pressing za haraka, ikabidi amshike jezi, bukta na shingo, aibu nimeona mimi.
Anaitwa nani huyo dogo! Ni mrefu hivi, mi sijamshika jina.
Jambo lingine, arteta yupo tofauti na makocha wenzake wa timu kubwa, vikombe vya mchangani anavikamia sana, ndiyo anapotegemea kujijengea cv yake.
Arsenal wasipojiangalia, wamepata msanii mwingine mara tatu ya wenger, kwa hiyo makombe ya maana arsenal wasahau kabisa.
Unateseka?Sisi kikombe chochote tunakifurahia hadi Ngao tunakusanya
 
Hata mechi ya kwanza ilitakiwa atolewe haonyeshi ari yoyote ni mtu aliejikatia tamaa hakutakiwa kupangwa hajitumi.

Sijui kwa nini Glujic hakubaliki kiwango alicho unesha hizi mechi mbili alistahili kubaki bora andoke Gini
Ukiachana na hizi mechi mbili, kuna msimu Grujic hajawahi kuwa bora? Yule dogo ni kama Klopp hamtaki tu ila sio kwamba hawezi compete number na mtu kama Gini au Hendo
 
Klopp haya makombe ya carabao na FA anayachukuliaga kama nafasi ya kuwapa minutes wale woote wanaosuguaga benchi na uzoefu kwa madogo


Swali watu wanajiuliza lini klopp atayachukulia serious haya makombe kama FA na carabao
 
Unatafunwa tena si mara moja unatuita wachovu kwenye ligi unapigwa hadi finals lini tumekuita wachovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Final ipi unayosemea ?
Hatujawahi kucheza final na nyie.
Hivyo vikombe vya mtaani visivyo hata na mkono ndo unasema final?
Wenzio pale tunakuwaga mazoezini.

Kwanza sisi tuna UEFA kibao nyie mna nini?
Eti carabao..! Hahahah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom