Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Timu gani ngumu wameifunga? Hizo story kama za Arsenal walijiona wako fire kumbe kulingana na timu walizokutana nazo.
Yani unaongea kwa uhakika kuwa tutamfunga Everton kwa 💯 😁😁
Timu gani ngumu wameifunga? Hizo story kama za Arsenal walijiona wako fire kumbe kulingana na timu walizokutana nazo.
Yani unaongea kwa uhakika kuwa tutamfunga Everton kwa![]()
![]()
Yani unaongea kwa uhakika kuwa tutamfunga Everton kwa![]()
![]()
Jamaaa hutaki masiala kabsaa na timu yako nakukubali sana yani upo siriasi
![]()
![]()
Liver kapigwa mara 2
Man city
Chelsea
Hawă wote wabovu? Shirikisha ubongo na vidole vyako kabla ya kutype pumbaz

Hapa itakua kigezo ni Aseloti tu ndo anae tutia khofu. Kwa upande wangu naona team zote zipo vizuri sanaaa kasoro kama nne tu ndo unaeza zitabilia.Sijajua ubora wa timu wayoisemea Uko wapi? Timu alizocheza nazo kwenye ligi ,sio kipimo.
Hao leicester wameshinda kama Everton tu na wanamagoli mengi hatari na kamfunga man city etihad,lakini mnasema Everton wako vizuri,sasa sijajua mmetumia kigezo gani kuonekana yeye ni bora zaidi ya hao waliomzidi.
Kwasababu ni rival wenu.Sijajua ubora wa timu wayoisemea Uko wapi? Timu alizocheza nazo kwenye ligi ,sio kipimo.
Hao leicester wameshinda kama Everton tu na wanamagoli mengi hatari na kamfunga man city etihad,lakini mnasema Everton wako vizuri,sasa sijajua mmetumia kigezo gani kuonekana yeye ni bora zaidi ya hao waliomzidi.
Leo njoo tucheki Ngarenaro
Hivi ngao kumbe ilkuwa msimu uliopitaMkuu mbona unaleta mechi za msimu uliopita,msimu huu vipi hakuna mechi ulizoshinda?![]()

.Mkuu angalia wanavocheza siyo swala la walio cheza nao Kuna msimu walishiriki kutunyima ubingwa broTimu gani ngumu wameifunga? Hizo story kama za Arsenal walijiona wako fire kumbe kulingana na timu walizokutana nazo.
.Mkuu angalia wanavocheza siyo swala la walio cheza nao Kuna msimu walishiriki kutunyima ubingwa bro