Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Mkuu wala sijawai sema Leeds alikua mwepesi kwetu mbali alipambana haswa na ki ukweli ilikua gemu powa kwetu kama timu kujitadhamini namna ya kuutetea huu ubingwa...Unaona man city kafa leo utasema nayo siyo timu, Kuna wakati unazidiwa tu. Tatizo hamkubali kuwa vs Leeds mlizidiwa kama siyo zile two penalties tungeandika mengine.
Kuhusu Westbrom yale magoli ni makosa ya mchezaji binafsi hakuna ufundi wowote hata wewe unafunga tu.
#CFC 💙💙💙
Usikomae sana na hizo penati kwani hata nyie mliipata Allison akaisoma vyema na kuokoa...
Leo Manchester City kazidiwa kila idara... Ogopa sana pale timu inapopaki basi na kupiga kaunta za kihesabu,.. Ndio yamemkuta leo Pep...
Pep anadai kikosi kina majeruhi wengi... Hii ndio EPL hakuna cha majeruhi wala nini kinachosoma ni pointi 3 tu hayo mengine hayasaidii...
Kesho usikose kuangalia gemu uanze wiki na burudani..
YNWA

Wana tofauti gani na kina Joginho na Kovacic?