Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp Awezi weka full kikosi kwenye carabao. Hi ni game za kina Origi, Minamino, Shaqiri, Milner, Adrian na wengineo
Mission ya pili against Arsenal. uzuri mpira sio kama kutongozwa kwamba kuna option ya kukubali au kukataa, ukiwa mbovu utapigwa tuu hata mara 100 mfululizo, klop aweke full mzigo tuanze na hiki kikombe

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Adjustments.jpg
 
Edwards the transfer wizard, soon we will get £4.4m 💵💵💵💵from Barca👇👇👇👇

Liverpool sold Coutinho to Barcelona back in 2018, and earned £106million up front along with the promise of a further £36m in add-ons.

Liverpool have since received the vast majority of this fee, but are still owed a further £4.4m.

Coutinho is now just 14 appearances away from triggering this final bonus, and is certain to do so this season given his newfound importance to Barcelona.

YNWA
 
Klopp huyu ni kocha mwenye kujua matumizi sahihi ya akili tunajivunia kuwa nae.

Nnachoona anatafuta backup ya kila mchezaji wa first eleven yetu taratibu bila kuvamia soko kama kina Chelsea .niliposema wamejaza machezaji mengi kwa wakati mmoja ollachuga akabisha .

Ona sasa hata lampard mwenyewe hajui atawatumia vipi..

Hakunaga mjerumani mjinga
Wacha kuandika ujinga, wachezaji wamekuja juzi tu hapa subiri First Round imalizike ndo uongee.
Kwani hii liverpool tumechukua Muda gani hadi kukaa sawa? Wacha ushamba mkuu.
#CFC 💙💙💙
 
Wacha kuandika ujinga, wachezaji wamekuja juzi tu hapa subiri First Round imalizike ndo uongee.
Kwani hii liverpool tumechukua Muda gani hadi kukaa sawa? Wacha ushamba mkuu.
#CFC 💙💙💙
Wewe ulisema hutocomment tena mkifungwa mkuu.
Yaani inashangaza mpka sasa hamna 11 inayoeleweka yaani ni kuunga unga hahahah
 
Thiago Alacantara ameondoka Bayern ana struggle kupata ushindi. Hii iliwahi kuikuta Liverpool kipindi alivyoondoka Alonso Xabi.
Vipi kuhusu pancha zile kina timotheo kai na madude mengine
Sema siku moja nilikuwa nimevaa jezi za Chelsea ilibak kidogo wanisajiri
 
Everton wapo fire Sana msimu huu
Huyu lewin daaaa dadeki zake atatuumizia vijana

Timu gani ngumu wameifunga? Hizo story kama za Arsenal walijiona wako fire kumbe kulingana na timu walizokutana nazo.
 
Timu gani ngumu wameifunga? Hizo story kama za Arsenal walijiona wako fire kumbe kulingana na timu walizokutana nazo.

Liver kapigwa mara 2
Man city
Chelsea

Hawă wote wabovu? Shirikisha ubongo na vidole vyako kabla ya kutype pumbaz
 
Timu gani ngumu wameifunga? Hizo story kama za Arsenal walijiona wako fire kumbe kulingana na timu walizokutana nazo.
Jamaaa hutaki masiala kabsaa na timu yako nakukubali sana yani upo siriasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom