Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
LIVERPOOL BINGWA MSIMU HUU! PERIOD.
Huyo kepa wenu wa bei kali anafanya nini uwanjani?Mtupeni Arse8 wanapenda vitu vya bei rahisi pale atapata namba
5Man City ameshakula Minne huko
Citizen Anakufa huko yaani Citizen mpira wanaocheza wanaonekana wamechoka kuliko hata sisi ahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Pep katumia zaidi ya 300 kwa mabeki tu lakini bado anasuasua kila akishambuliwaGuardiola ni Chequebook Manager! Sasa Tajiri wake alipoona FSG hawavamii Soko kumwaga Mamilioni kila Msimu lakini Klopp anashinda Makombe, akaona nayeye kwa Man city Guardiola ataweza, Hivyo kuanzia Msimu uliopita na Msimu huu kaamua kupunguza Budget ya Usajili akiamini bila ya £300M alizozowea kumwagia Guardiola kila Msimu ataweza kufanikiwa! Ona sasa
Backbone ya Mafanikio ya Man City ilikuwa ni Watu hawa Wanne:-
1) Kompany
2) Fernandinho
3) KDB
4) Aguero
Sasa kabakia KDB peke yake ndiye mwenye uhai, sasa wale kina Rodri na Foden ndiyo ashinde EPL?Wana tofauti gani na kina Joginho na Kovacic?
![]()
Kuupiga Mwingi FCNdani ya Emptyhad! Hee kumbe Ulaya uchawi upo! 😱
Hizi siyo habari nzuri kwetu, especially kwa Allison...
Nafikiri uko pekee yako tu, kama kuna mtu anajiita kama wewe humu ndani sina hakika kabisaLiverpool HALISI,kesho tuwepo kuishangilia team yetu
Tuache Liverpool-Pep wakiugulia kipigo cha 5 kwao
Liverpool HALISI no matter what tuwe nyuma ya team yetu
Kepa na Allison wametofautiana nini? Wote wamefungwa goli tatu.Huyo kepa wenu wa bei kali anafanya nini uwanjani?
Unaona man city kafa leo utasema nayo siyo timu, Kuna wakati unazidiwa tu. Tatizo hamkubali kuwa vs Leeds mlizidiwa kama siyo zile two penalties tungeandika mengine.Mkuu zile bwebwe zako zilituaminisha kwa usajili huu utakua kila gemu unashinda ili hatimae uwe bingwa 2020 -2021...
Kwa hali mnayokwenda nayo hata nafasi ya 4 mtaisaka kweli kweli...
Leeds sio Westbrom ndugu..
Subiri mkutane utawaelewa vyema..
YNWA
Pep leo kaonyeshwa mazima kwa nini EPL ni ligi bora kabisa..LIVERPOOL BINGWA MSIMU HUU! PERIOD.
Tulia mwisho wa msimu tuongee hivi.Chelsea timu ya kawaida sana