Guardiola ni Chequebook Manager! Sasa Tajiri wake alipoona FSG hawavamii Soko kumwaga Mamilioni kila Msimu lakini Klopp anashinda Makombe, akaona nayeye kwa Man city Guardiola ataweza, Hivyo kuanzia Msimu uliopita na Msimu huu kaamua kupunguza Budget ya Usajili akiamini bila ya £300M alizozowea kumwagia Guardiola kila Msimu ataweza kufanikiwa! Ona sasa

Backbone ya Mafanikio ya Man City ilikuwa ni Watu hawa Wanne:-
1) Kompany
2) Fernandinho
3) KDB
4) Aguero
Sasa kabakia KDB peke yake ndiye mwenye uhai, sasa wale kina Rodri na Foden ndiyo ashinde EPL?

Wana tofauti gani na kina Joginho na Kovacic?