Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tuna wapiga hiyo mechi full time: Liverpool 2 Arsenal 0.

Na hapo ndio itakuwa mwisho wako kupiga kelele humu.

Kuna watu walikuwa kama wewe humu sasa hivi wamekimbia,sitashangaa na wewe jumatatu usiku Baada ya mechi utatoka nduki.

Maana tutakuwa tumewashushia kipigo tayari mko hoi.anfield hapo hamtoki na timu yenu yakutegemea mchezaji mmoja.
Weka akiba ya maneno , Usije na matokeo mfukoni
 
Adjustments.jpg
 
Hawa Barcelona wana matatizo makubwa sana ona walivyokua wanamsukuma sokoni Coutinho kama vile walimchukua bure sasa tena Surez katimuliwa kwa kupigiwa simu hahitajiki tena..

Hii kwangu inatoa picha kwa akina Mane na Salah nk kufahamu sio kila timu watakutana na ma hug ya nguvu ya Klopp huku ofisi yake ikiwa wazi kuwasikiliza mpaka changamoto zao nje wa uwanja..

Hakika Liverpool ya sasa wachezaji wanakua treated with respect hata kama mchango wao ni hafifu uwanjani lakini hujisikia na sehemu ya ushindi kama vile Lovren, Lallana nk...


Barcelona na Real Madrid wamejaa viburi vya aina yake wakishakutumia vyema kwao huna tena faida ama mchezaji akaingia kwa kukosa kiwango hawana muda wa kusubiri..


Poor Surez lol angalau kapata AT all the best kwake..

YNWA
 
Hawa Barcelona wana matatizo makubwa sana ona walivyokua wanamsukuma sokoni Coutinho kama vile walimchukua bure sasa tena Surez katimuliwa kwa kupigiwa simu hahitajiki tena..

Hii kwangu inatoa picha kwa akina Mane na Salah nk kufahamu sio kila timu watakutana na ma hug ya nguvu ya Klopp huku ofisi yake ikiwa wazi kuwasikiliza mpaka changamoto zao nje wa uwanja..

Hakika Liverpool ya sasa wachezaji wanakua treated with respect hata kama mchango wao ni hafifu uwanjani lakini hujisikia na sehemu ya ushindi kama vile Lovren, Lallana nk...


Barcelona na Real Madrid wamejaa viburi vya aina yake wakishakutumia vyema kwao huna tena faida ama mchezaji akaingia kwa kukosa kiwango hawana muda wa kusubiri..


Poor Surez lol angalau kapata AT all the best kwake..

YNWA
Suarez kumbe wamefukuza
 
Suarez kumbe wamefukuza
Yaani kwa kupigiwa simu design kama ileee ya Conte na Costa akiwa Chelsea...

Barcelona kuna tatizo unakumbuka alivyoodoka Figo, Eto, Gaucho, Zlatan nk yaani lazima kuwe na figisu fulani lol

Tazama Coutinho walimtaka wenyewe mpaka dogo alijilipia kiasi cha pesa ili ule uhamisho ukamilike lakini lol kumtumia vyema walichemka wenyewe wakaanza kumuona kituko mpaka sasa Koeman ndio anakomaa nae aone kama anaweza kuamsha upya..

Kwa kweli hata kama mchezaji hayupo kwenye mipango basi kuwe na ustaarabu na Surez kawatumikia miaka 5 vile kwa mafanikio makubwa... Messi kakinukisha kaponda sana namna ambavyo hili suala limeshughulikiwa na klabu...

I love football we ain't perfect but we aint in that Barca shits...

YNWA
 
Ushindi na Usajili ni Kitu kitamu kweli Yani! Nimelalamikia usajili kwa Misimu miwili mfululizo lakini usajili wa ALCANTARA mmoja tu na Ushindi dhidi ya Chelsea pekee umenifanya Nijipige Ban ya Muda kuhusu kulalamikia usajili.

Sasa kilio kitabakia kwa Striker tu.
Huyu Alcantara tumpe Muda Atafloap tu.
Umeona kazi ya Kai?
 
Mkuu Ziroseventytwo hahaha huyu Ollachuga Oc ni Mzaramu wa Kaskazini kwa vimaneno hajambo😀😀😀😀😀😀😀...

Alisema anajipiga ban mpaka sijui msimu ujao vile.. Hahaha huyu kama ulivyosema ana mahaba mazito mno na majogoo hawezi kujizuia hivi hivi kutotua huu uzi huu mubashara ma bingwa...

Pointi 6 safiiii zimetulia na huku walijitapa mno na usajili wao wa £200m+.....

Hua namwambia awe na maneno ya akiba..

Hahaha tunasajili barua yake🤣🤣🤣😀😀😀😀....


YNWA
Nilikuwa napita tu kutoa pongezi japo tunajua nyie ni timu bora lakini kuifunga Chelsea mulitumia nguvu nyingi sana hadi kusababisha red kadi..tukipata muunganiko unaofaa tutaleta shida sana apo EPL.

#CFC💙💙💙
 
Hahahahahahahahahaha umerudi tena we mzaramo wa kibada! Hahahahhahaa.

Nilichogundua kwako bwana mdogo. Una mahaba sana na majogoo kuliko kule darajani.

Usajili msimu huu wa majira ya joto unafungwa tarehe 5 mwezi ujao. Njoo ujisajili hapa jukwaani. Andika barua kwenda kwa Mbu na uhakikishe hawa wafuatao wanapata copy. King Ngwaba Malafyale mbabe Captain Marvelous MosDef , Ladder 49 zumbemkuu @ na wengine wote.
😀😀😀😀😀 Chelsea ni timu ya bibi na babu na baba na mama pia. Nawezaje kuwa fan wa liverpool aise...Nimefuta ile ban yangu naendelea na mikakati yangu ya kuhakikisha tunabeba EPL.
#CFC 💙💙💙
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom