Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wewe tunakujua Mzee wa kuchangamsha genge huwezi kuvumilia kukaa muda wote huo. By the way karibu tena
😀😀😀😀asante sana mkuu. Mimi huwa naleta upinzani wa kweli. Unajua Chelsea ndo timu inayochukiwa na marefa sana? Unaona juzi jinsi Refa alivyotuua??
#CFC 💙💙💙
 
Salimia wakubwa kwanza, naona umeshindwa uvumilivu umejileta mwenyewe
Dah kwakweli hadi round ya kwanza iishe itakuwa mbali sana. Ivyo tutaendelea kuwaombea njaa na mapambano yataendelea ili kuhakikisha unamaliza ligi ukiwa na kikosi cha kuunga unga.

Sisi kama Chelsea tuna uhakika kuwa tutamaliza ligi ninyi mukiwa nafasi ya tatu au nne uko..
#CFC 💙💙💙
 
Dah kwakweli hadi round ya kwanza iishe itakuwa mbali sana. Ivyo tutaendelea kuwaombea njaa na mapambano yataendelea ili kuhakikisha unamaliza ligi ukiwa na kikosi cha kuunga unga.

Sisi kama Chelsea tuna uhakika kuwa tutamaliza ligi ninyi mukiwa nafasi ya tatu au nne uko..
#CFC 💙💙💙

We jamaa burudani sana, nilishangaa eti ujipige ban!
 
Yaani kwa kupigiwa simu design kama ileee ya Conte na Costa akiwa Chelsea...

Barcelona kuna tatizo unakumbuka alivyoodoka Figo, Eto, Gaucho, Zlatan nk yaani lazima kuwe na figisu fulani lol

Tazama Coutinho walimtaka wenyewe mpaka dogo alijilipia kiasi cha pesa ili ule uhamisho ukamilike lakini lol kumtumia vyema walichemka wenyewe wakaanza kumuona kituko mpaka sasa Koeman ndio anakomaa nae aone kama anaweza kuamsha upya..

Kwa kweli hata kama mchezaji hayupo kwenye mipango basi kuwe na ustaarabu na Surez kawatumikia miaka 5 vile kwa mafanikio makubwa... Messi kakinukisha kaponda sana namna ambavyo hili suala limeshughulikiwa na klabu...

I love football we ain't perfect but we aint in that Barca shits...

YNWA
Mkuu nahisi swala la kujaribu kuondoka kwa Messi nalo linahusika hapa,Sina hakika Ila nachosikia Messi and Suarez wanaelewana Sana(marafiki) ndan na nje ya uwanja so kipind mess kakomaa aende Man City suarez Ni mmoja Kat ya wachezaji waliomuunga mkono moja kwa moja na yeye pia akitaka kutimkia juve...maana juve ilimtaka kabla ya ATM,nahisi baada ya kuona wameweza kutuliza upepo mbaya kwa Messi kipind hiki labda wameamua kumfedhehesha Suarez kwa staili hiyo.
 
Tahadhari!
Vitu hivi ni Jumatatu na Alhamisi tu

Anfield

#YNWA
20200926_064118.gif
 
Suarez kumbe wamefukuza
SIO HAKI
.
"Tutakumiss sana tumekaa miaka mingi pamoja tukifanya vitu vingi ambavyo hatuwezi kuvisahau, ni maajabu kuona unaondoka unaenda timu nyingine na utakuja kucheza dhidi yetu, ulistahili kuagwa kwa heshima kwani wewe ni moja ya wachezaji muhimu sana katika historia ya Barcelona, umeshinda tuzo nyingi sana na timu na pia binafsi hukustahili kuondoshwa kwa staili hiyo".
.
Maneno ya Messi, inaonekana Messi hajamalizana na Barcelona na haogopi kuwabwatukia.
 
Origi anaelekea kama a nasepa Brighton kumfuata lallana kumpisha DIOGO jota.
Wilson atamfuata ila sijui timu gani.
 
Nilikuwa napita tu kutoa pongezi japo tunajua nyie ni timu bora lakini kuifunga Chelsea mulitumia nguvu nyingi sana hadi kusababisha red kadi..tukipata muunganiko unaofaa tutaleta shida sana apo EPL.

#CFC💙💙💙
All the best ndugu..

Wakati mnajiweka sawa sie haoooo kuchukua ubingwa wa 20 EPL...

YNWA
 
Mkuu nahisi swala la kujaribu kuondoka kwa Messi nalo linahusika hapa,Sina hakika Ila nachosikia Messi and Suarez wanaelewana Sana(marafiki) ndan na nje ya uwanja so kipind mess kakomaa aende Man City suarez Ni mmoja Kat ya wachezaji waliomuunga mkono moja kwa moja na yeye pia akitaka kutimkia juve...maana juve ilimtaka kabla ya ATM,nahisi baada ya kuona wameweza kutuliza upepo mbaya kwa Messi kipind hiki labda wameamua kumfedhehesha Suarez kwa staili hiyo.
Bwana wee nyuma ya pazia kuna mambo mengi sanaaa...

YNWA
 
SIO HAKI
.
"Tutakumiss sana tumekaa miaka mingi pamoja tukifanya vitu vingi ambavyo hatuwezi kuvisahau, ni maajabu kuona unaondoka unaenda timu nyingine na utakuja kucheza dhidi yetu, ulistahili kuagwa kwa heshima kwani wewe ni moja ya wachezaji muhimu sana katika historia ya Barcelona, umeshinda tuzo nyingi sana na timu na pia binafsi hukustahili kuondoshwa kwa staili hiyo".
.
Maneno ya Messi, inaonekana Messi hajamalizana na Barcelona na haogopi kuwabwatukia.
Koeman ana kazi ngumu sana na huyu Messi..

Na kwa vile uchaguzi mwakani ni kama anamharibia Josep Maria asirudi tena.. Huyu raisi ndio Messi anadai kuiharibu timu na jopo lake..

Messi kalazimishwa na mazingira kubakia pale..

Mwili upo Catalan lakini kimawazo yupo Ethad...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom