Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mlibahatisha epl, corona iliwasaidia

Sasa Kama nyie wanaume, ngoja tuwaone this season
Kama asrenal anawasumbua subili kuona mengine

Point 9 huu mwezi lazima mdrop

Leed

Arsenal

Chelsea

Then na kikos chenu cha kuunga unga,
 
Pumbavu Sana mmesababisha watu tumeshindwa kupata usingizi,sijui leo tutakuwa wageni wanani ninajirani yangu shabiki wa Arsenal nitatizo usipokuwa mvumilivu unaweza kupigana.
 
The begining of the END.

Endelea kuwa na tamaa za Fisi 😂😂😂

Msimu ukianza musije anza kulialia tu sijui mara VAR, mara Michael Oliver 😂😂
Mara next season is your last season na blah blah blah nyingi.

Mark my words, "Chelsea haiwezi kumaliza Ligi juu ya Liverpool". Haya maneno nitakuja kuyapost kwenye Uzi wenu siku nitakayokuja.
 
I agree with you.

mimi mwenyewe natamani sana tuwe na depth particularly kwa ajili ya kuleta ushindani (not cover) vs starters (esp for the likes of Bobby, Mo, Millie, Gini, Hendo) ambao kuna games wanakuwaga vimeo kupindukia.

kama ujuavyo Klopp's style ina thrive on "dark artists" manning the midfield, with creativity coming from elsewhere.
sina uhakika kama Thiago is a dark artist... but we'll see.

napata uoga sana kui disrupt ile midfield ya sasa. if it ain't broken, why fix it? they do have an off day occasionally (like today) but who doesn't?

vijana wanahitaji kujifua intensively huku mwalimu akiwafunda kisaikolojia wasahau mambo ya last season, basi!
Definitely true.. Nionavyo mimi its like as days goes by ni kama vile now other teams are mastering the art of sustaining our danger wing back boys and cooling the MF inakua toothless ... This was done vs AT, Vs Blades, vs Everton, na vs Gunners twice...

Now jana we were not that bad either imagine kama Mane those two chances angetumia vyema tungescore 2 more ila sasa mpira sio mahala pa 'whats if'... Being lethal in front of the goalkeeper is absolutely necessary but kwa hawa vijana wetu wanapokezana aisee utakuta dry spell kwa Mane mara Salah or Firmino mpaka wanatia hasira...

New Signing is necessary hakuna namna we need a proper 9 and creative AM who can operate on both flanks...

YNWA
 
Endelea kuwa na tamaa za Fisi

Msimu ukianza musije anza kulialia tu sijui mara VAR, mara Michael Oliver
Mara next season is your last season na blah blah blah nyingi.

Mark my words, "Chelsea haiwezi kumaliza Ligi juu ya Liverpool". Haya maneno nitakuja kuyapost kwenye Uzi wenu siku nitakayokuja.
Hayo yote kisa hii statement. The Begining Of The END
 
ila fabinho ni mashine ile . dk zile za mwisho alicheza beki ya kati vizuri kuliko hata joe gomez
Fabby is class man... Shinda ni Klopp ataona asisajili CB mwingine ili ku accommodate fit again Hendo na Fabby awe ana deputise CB lol..

Gomez akicheza RB ni mzuri ku defense ila sio kuleta ma assist ya kutosha...

The way i see jana performance tunahitaji usajili pia wa RB hatuna muda wa trial and error aisee... Huyu Neco apelekwe kwa mkopo kwingine aisee..

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Tuweni wakweli Liverpool tunaongoza kujivunia Past events, Kwasababu tu last season tulishinda EPL basi Watu wanaona everything is fine.
Ukiwatajia usajili watakwambia tumeshina CL, Club World Cup, Super Cup na EPL kwa wachezaji hawahawa! Kwani Barcelona nayeye hakushinda makombe kwa Wachezaji walewale waliopigwa 8? Sasahivi yupo wapi?
 
Tatizo lenu mnadhani mna binge la timu ambayo haitakiwi kupoteza kwa namna yeyote ile,si kweli kabisa. Mnavyoichambua Liverpool utadhani Barcelona ya xavi,iniesta na messi kumbe in timu ya msimu mmoja tu.

Timu isipofanya vizuri wakati mwingine toeni credit kwa mpinzani wenu kuwa wamejua namna bora ya kukabiliana nanyi kimbinu. Suala la kuanzisha watoto, hata arsenal alijaza watoto. Msitafute mchawi timu yenu ni ya kawaida mno tu.
Arsenal ndo wa kumlalamikia Mikel maana game hii arsenal walikuwa wanaimaliza mapema sema vile vitoto havijatulia kabisa vimekosa goli karibia tatu.
Liva kasomwa na mikel na kadhibitiwa refer last game .

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom