Hizo gharama zote zilikuwepo wakati tunawalipa lalana lovren na Clyne mishahara. Na hizo 175 mil p za ubingwa ni faida pamoja na gharama zote hizo kuwepo. So sio ishu hiyo. Ni kubalance mambo tu. Messi apigane tu mkataba wake wamuachie bure uone kama hata Leeds hawajamtaka. Sababu kwa salary peke yake timu KIBAO zitajitutumua. But barca wakishinda hizo vurgu zao NA bei ikabaki 600 pound basi wengi watanyweA.Lakini kwa hesabu izopiga hapa mana yake ni kama Timu yetu haitumii gharama yoyote katika kuiendesha that's Why unazungumza as If hela yote tunayoingiza haitumiki inabakia kwenye Account kama ilivyo.
Sasa sijui Mishahara ya Wachezaji na other Staff, Posho, Kodi, Umeme, Maji, Ukarabati wa Viwanja na Majengo, Usafiri, na gharama nyengine za uendeshaji huwa zinalipwa na nani kama mapato yote yapo hayajatumika.
Na pia Faida wanayogawana Shareholders itakuwa inatoka wapi?
mimi ninaamini mapato jinsi yanavyoingia ndiyo yanavyotoka kwa ajili ya amatumizi.
Sema ATM wamewapiga Chelsea kwa Kepa wacha nao wapigwe kwa huyo felix maana 100 m hawkautakiwa kutoa kabisa. Ilitakiwa iwe 45 fulani hviiSajili nyengine sio kamari bali ni uzembe wa Wazi,
Timu inatoa £100M+ kwa Joao Felix ikisha unaita Kamari?
Ni sawa na kutoa £75M kwa Kepa au £50M kwa Chillwel ikisha ukasingizia kamari.
Kepa katoka Athletic bilbaoSema ATM wamewapiga Chelsea kwa Kepa wacha nao wapigwe kwa huyo felix maana 100 m hawkautakiwa kutoa kabisa. Ilitakiwa iwe 45 fulani hvii
Hii timu Haina tofauti na Wigan kweny upande wa kusajili.
Sasa ata wewe ujui Kepa katokea wapi alafu unajiita shabiki wa liverpool.Sema ATM wamewapiga Chelsea kwa Kepa wacha nao wapigwe kwa huyo felix maana 100 m hawkautakiwa kutoa kabisa. Ilitakiwa iwe 45 fulani hvii
Hii Club masikini sana
Mkuu tuletee takwimu za singida unitedHii Club masikini sana
Ingekuwa Tanzania hainatofauti na singida united
Klopp on Community Shield: "We had 2 weeks training and the boys worked really hard. We are preparing for one of the most intense season of our lives."
Ivi hapa kwenye "The Most Intense Season Of Our Lives" Klopp hasa amemaanisha nini?
NOTE: Sijakusudia Tafsiri ya hayo maneno bali kama yupo anaeelewa nataka anifahamishe lile alilokusudia mpaka akasema hivyo.
Muhuni tu anatuchora, kama anajua hivyo kwa nini asifanye usajili?
Klopp on transfers: "There's a long way to go until the 6th October. We will see how much we can or want to spend, these kind of things." #LFC
Mnawalipa wachezaji mishahara ya mboga, usajili mnajibana, mnatafuta cheap player ambao hawana effect, minamino mmepigwa,