Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Error ni error tu mzee baba awe amefanya Adrian, Allison, Lovren au Dyik na ikai cost team kwa namna yoyote inahesabika kuwa ni error. Na errors are part of mchezo pia

Ninapoitazama comment yangu na ulichojibu wewe mpaka hapo napigwa na butwaa!

learn to differentiate between error and blunder
 
ngoja na sisi tuendelee kusema front 3 isiguswe, barça yamewakuta kwa sababu ya kuendekeza huu ujinga wa flani na flani wasiguswe!


hendo,gini,firmino wamechoka, zije damu mpya vinginevyo tutaendelea kumsingizia Adrian wakati timu overall ilikua mbovu!
Ww sema unataman kusikia liver kasajili jina kubwa uvimbe kijiwen wamechoka kwan klop hawaon..........mbona msimu uliopita hakusajil hata mmoja mkapiga sana domo man city alivyosajil wachezaj lkn tumechukua ubingwa mbele ya hao man city kwa point zaid ya 20

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Unachopaswa kufahamu kila mchezaji hufanya makosa ila pia tunaangalia na rate ya makosa kwa kila gemu na pia mchezaji anaisadiaje timu ktk mechi muhimu. Forward yetu mpaka dakika ya 95 ilifunga goli 2 and was enough to make us qualify next stage, Becker conceded 3 goals at camp nou and got screen sheet at anfield so unataka kunambia barca wanafoward mbovu? No Becker alijua hii gemu ni muhimu kuruhusu goli hata moja ni hatari, utakumbuka barca walihitaji goli moja tu ili wafuzu na wangeli-score yale magoli 4 we scored yasingelikuwa na maana kabisa. Kama uliona vizuri coutinho alipeleka kishutu pembeni kisicho na nguvu lkn kilikuwa na madhara makubwa mno, Becker alikuwa mbali lkn alikunjua utadhani kaumbwa kwa elastic material mpaka akauziia that ball kuzama nyavuni, hapa ndo tunatoa credit kwa wachezaji wanaokuwa serious ktk gemu muhimu kama hizo.
kwanini tulienda dk 120 in the first place?....... mkuu mimi simtetei Adrian yule ni another karius yes, ila ukweli unabaki pale pale ile timu yetu yote ilifail big time!


kule spain wakishindwa hata shuti moja golini, yaani wakitoka SIFURI (zero kabisa)!...... Anfield ndani ya dk 90 za mchezo goli moja tu then tuseme tulikua bora?


over two legs hatukua bora ndio mana tukitolewa, tusijifiche kwa Adrian mkuu wangu!........ kama ni kutafuta upgrade ya Adrian sawa tutafute lkn hilo liwe baada ya ku-upgrade kule mbele na mido.....


tunahitaji wabunifu kwenye mido zaidi ya hendo na gini, tunahitaji striker muuaji akapambanie namba na kina firmino...... failure to do that next season tutakua hapa kumlaumu mbuzi wa kafara mwingine maana our darling lovren kaondoka
 
Ww sema unataman kusikia liver kasajili jina kubwa uvimbe kijiwen wamechoka kwan klop hawaon..........mbona msimu uliopita hakusajil hata mmoja mkapiga sana domo man city alivyosajil wachezaj lkn tumechukua ubingwa mbele ya hao man city kwa point zaid ya 20

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
waaaohh MR BINGO ........ kweli tumekula bingo
 
1597524624585.png
 
tusishangae final kuwa kati ya RB vs OL...... yale yale ya 2004
Maskini Sterling alisema anakwenda kushinda makombe makubwaaa sasa anakwama wapi kweli kukosa sitter kama ile seriously...

Sterling is also cursed guys...

My weekend just got better..

Msimu huu Manchester City wametoka na vi mickey cup viwili tu Carabao na Community Shield hahahaha...



YNWA
 
hahahaaaaaaa 3-1....... arudi barça akaendelee kuyajenga na Messi
Hahaha kumbe wewe Pep humjui that man mafanikio yamemlevya he see himself as the best of the best top top gaffer na his pride is his problem..

Unless kuwe na clause ya kumshusha mshahara nk asiposhinda UCL misimu yote aliyokaa Manchester City basi bado yupooo sanaaaa... Ila sioni akipewa mkataba mpya labda Mansour akose mbadala design kama ya Klopp hahaha dreamer...

YNWA
 
Maskini Sterling alisema anakwenda kushinda makombe makubwaaa sasa anakwama wapi kweli kukosa sitter kama ile seriously...

Sterling is also cursed guys...

My weekend just got better..

Msimu huu Manchester City wametoka na vi mickey cup viwili tu Carabao na Community Shield hahahaha...



YNWA
kwakweli mimi nimefurahi sana, niliumia sana chelsea waliposhinda hili kombe.... hizi timu zinazomwaga hela kama vichaa natamani ziendelee kulisikia redioni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom