Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Liverpool FC haiwezi kuwa kubwa kama washabiki tunavyotaka iwe.
Matajiri wanatuangusha.
This time with genius Klopp was supposed to be the time we dominate Europe and The World.
Very unfortunately, FSG have different mission, to make super normal profit out of this.
Kama tungekuwa tuli address swala la creative mid mapema, Atletico wasingetutoa, hii UEFA iko so open, tungefika mbali.
Kama tutaendelea na kiburi chetu cha kutumia mashambulizi kutoka kwa TAA na Robertson, tusahau UEFA, tuendelee kupambana PL peke yake, hata FA ni ngumu kwetu kwa sababu game za mitoano tactics ni nyingi na ni rahisi watu kushutdown mfumo wako kwa sababu unatumia style moja tu.
I hate to admit kwamba UEFA itakuwa mlima kwetu kama tunaendelea na usajili kama huu.
Matajiri wanatuangusha.
This time with genius Klopp was supposed to be the time we dominate Europe and The World.
Very unfortunately, FSG have different mission, to make super normal profit out of this.
Kama tungekuwa tuli address swala la creative mid mapema, Atletico wasingetutoa, hii UEFA iko so open, tungefika mbali.
Kama tutaendelea na kiburi chetu cha kutumia mashambulizi kutoka kwa TAA na Robertson, tusahau UEFA, tuendelee kupambana PL peke yake, hata FA ni ngumu kwetu kwa sababu game za mitoano tactics ni nyingi na ni rahisi watu kushutdown mfumo wako kwa sababu unatumia style moja tu.
I hate to admit kwamba UEFA itakuwa mlima kwetu kama tunaendelea na usajili kama huu.
