Liverpool ni habari nyingine kabisa mkuu, lile shati Adrian ndo lilituharibia tu maisha, ungefurahiMan City wasikutane na hawa mashetan wa german, wanapiga mpira balaaaa
Hivi liverpool mliwafunga vip hawa majin buyern munich
Wote wamepigwa walikuwa vilaza tuKati ya Chelsea na Barca nani alikuwa bora zaidi dhidi ya Bayern...??
Kuna mtu bado anamashaka na thiago alcantara kuhusu uwezo wake, au bado tunaangalia fedha yake kubwa.
Bao 8 najua umeziona mkuu hata hazijanishangaza kilichonishangaza ni Lewandowsk kufunga bao moja tu
Wameshamfukuza usiku ule ule na AbidalDah! Yani kocha akipona basi ashukuru
Angalia kuna tofauti hapo.Wote wamepigwa walikuwa vilaza tu
Hawakosi sababu kwa jambo lolote linalohatarisha nafasi ya Hendo au Front 3 yetu.
Lakini ukitaja Mabeki wetu (isipokuwa VVD) tu basi waliobakia wako tayari tusajili beki mwengine ili tuhutarishe nafasi zao.
Bado mapema sana mkuu karata yangu nampa pep aiseBaada ya sisi kutolewa na ATM kuna mtu nilimuambia Bavarians tayari wamechukua wanasubiri tu kukabidhiwa akanipinga kwamba Messi na Guerdiola wamelipania sana nahisi hakunielewa kipindi kile sasa anaanza kunielewa vizuri kesho asubuhi kabla ya yote inabidi nimpitie kazini ili kumkumbusha
Mkuu vipi?Barcelona ipi itakayofungwa na Bayern? Kama ni hii ninayoijua mimi ya Catalunia basi hata wacheze wanne tu hawawezi kufungwa na Bayern
We jamaa ni LiverpoolOrodha ni ndefu,
Michael Owen
Djibil Cisse
Milan Baros
Ditmar Hamman
Maestro Mommo Sissoko
John Anne Riise 'Carlos wa Europe'
Javier Marscherano
Xabi Alonso
Hernan Crespo
![]()
£27 kwa liver ni hela ya nyanya nashangaa kuna Kops wanaionea uchungu utazani wanachangishwa kumnunua, wanasahau liver tukielekea kuwa midtable club tulinunua magarasa mia kwa zaidi ya £ 30 kila garasa!Kuna mtu bado anamashaka na thiago alcantara kuhusu uwezo wake, au bado tunaangalia fedha yake kubwa.
Jamaa ni hasimu wetu ila tupende tusipende hilo kombe anabeba sioni wa kumzuia aisee!Bado mapema sana mkuu karata yangu nampa pep aise
£27 kwa liver ni hela ya nyanya nashangaa kuna Kops wanaionea uchungu utazani wanachangishwa kumnunua, wanasahau liver tukielekea kuwa midtable club tulinunua magarasa mia kwa zaidi ya £ 30 kila garasa!