Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Leo nimejiridhisha rasmi kuwa PEP hakuwahi kushinda UCL, aliyeshinda UCL ni Messi.
ila mwarabu kampa kila kitu anachotaka, yani kamwaga pesa kama kichaa lkn wapi........Pep sijui atasemaje leoHahaha kumbe wewe Pep humjui that man mafanikio yamemlevya he see himself as the best of the best top top gaffer na his pride is his problem..
Unless kuwe na clause ya kumshusha mshahara nk asiposhinda UCL misimu yote aliyokaa Manchester City basi bado yupooo sanaaaa... Ila sioni akipewa mkataba mpya labda Mansour akose mbadala design kama ya Klopp hahaha dreamer...
YNWA

Hahaha ile ya Chelsea hua inatokea Mkuu japo nadra mnoooo.....kwakweli mimi nimefurahi sana, niliumia sana chelsea waliposhinda hili kombe.... hizi timu zinazomwaga hela kama vichaa natamani ziendelee kulisikia redioni![]()
😂😂😂😂😂Unamtafuta Ollachuga Oc wewe si bure...ila mwarabu kampa kila kitu anachotaka, yani kamwaga pesa kama kichaa lkn wapi........Pep sijui atasemaje leo
hili kombe acha tu, mrusi pale chelsea alisota miaka karibu 10 ndio akapata nae kwa style ya kupaki contena......
I know the difference between errors and blunder but so far huwezi tu kusema errors ni for certain players na wengine wakifanya tuite blunders both may happen to all players.
Ninapoitazama comment yangu na ulichojibu wewe mpaka hapo napigwa na butwaa!
learn to differentiate between error and blunder
Itoshe kusema Adrian ni garasa lakini sina shida nae maana najua Allison hatoumia huu msimu
Shida yangu ipo kwa Origi natamani aondoke muda umetosha
.

Maskini Sterling alisema anakwenda kushinda makombe makubwaaa sasa anakwama wapi kweli kukosa sitter kama ile seriously...
Sterling is also cursed guys...
My weekend just got better..
Msimu huu Manchester City wametoka na vi mickey cup viwili tu Carabao na Community Shield hahahaha...
YNWA
Aende akawape changamoto SamattaNimesikia Aston villa wanamtaka.
😂😂😂😂😂😂😂Pep alikuja na bwebwe kama zote na usajili pesa za ndio kila aki point mchezaji huyoo analetwa...Man city level zao ni micky mouse cups![]()
ila mwarabu kampa kila kitu anachotaka, yani kamwaga pesa kama kichaa lkn wapi........Pep sijui atasemaje leo
hili kombe acha tu, mrusi pale chelsea alisota miaka karibu 10 ndio akapata nae kwa style ya kupaki contena......
liverpool kikosi kilikua kibovu mzee, kumbuka RB kaingia final mara mbili, hizo semi ndio usiseme kaingia sijui mara 4.......Uefa kustruggle kawaid Liverpool nae kutok 2005 had 2019 miaka mingi pia same to man untd tngu alichukue kashasahau
,Mmmmmmhliverpool kikosi kilikua kibovu mzee, kumbuka RB kaingia final mara mbili, hizo semi ndio usiseme kaingia sijui mara 4.......
kwa kifupi Liverpool ni wafalme wa CL kama ilivyo madrid na AC Milan........
second class ndio wapo Barcelona, Ajax, Bayern.......
third class ndio kina utd, juventus na wengineo....
hizi psg, city, hazina tofauti na kina wolves,