AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,284
- 4,021
Mbona salah alikuwa ni 2nd choice.Kama issue ni kuwa alifanyiwa scout kwa miaka 3 then why Jamal Lewis ambaye hajafanyiwa scaout hata msimu mmoja aliwekwa ahead of him? Klopp aliweka First Choice Jamal Lewis akitumia advantage ya Relegation but FSG refused to pay what Norwich walichokitaka! Then Klopp decided to go kwenye host Second choice.
So, Kufanya Scout kwa miaka 3 then Lewis akaekwa ahead of him means he failed to meet scout's demand, agree?
Nina mashaka kuwa kuna Mtu ndani ya Jiji la Liverpool anaact kama Haji Manara wa Ulaya kazi yake ni kucheza na akili za Washabiki wa Liverpool tu. Tunadanganywa!!!!!!!!!!!
Well said kaka... Hilo la effect za corona alitaja kipindi fulani Klopp pindi Timo alivyokwenda Chelsea, alizungumza pia la kulipa mishahara maana ndogo kama sikosei alikua anadai £200,000/= kwa wiki sasa hio peke ingeleta instability kwenye timu maana moja ya nguzo kuu ya kujenga harmony kwenye timu ni kua mfumo wa mshahara rafiki means kua rewarded kutokana na kazi kazi nk...
Ukiangalia kwa umakini ni kama vile lazima tuuze ili tununue aisee ndio maana hakuna amsha amsha kama kwa wengine... Naona Wilson atakua wa pili kuuzwa na kwa bei ya £15m sio mbaya soko hili..hivyo muda wowote utaona Jamaal anatua..
Muda utasema ndugu tuwe na subira kwa Klopp anaweza hata asinunue huyu yaani..
YNWA
Mbona salah alikuwa ni 2nd choice.
Embu tulieni. Mtu kuwa 2nd choice sio Kwamba ni kilaza.
Liverpool Wana hela ila sio kutumia hela kama kichaa kama City wanavyofanya wa nanunua wabeki KIBAO mwisho wanawatema kwa hasara.
Huwezi toa £60 kwa werner halafu aje kuanzia benchi. Huo ni UKICHAA na Yeye alitaka kuanzia.
Lakini wote tu najua wale front 3 msimu ujao wanaanza kama walivyo. Mara chache Sana watarotate. Sasa unadhani werner atakubali a subiri tu firminho atoke jasho ndo aingie.na ndo maana AKAENDA Chelsea ambako Abraham haiwezi kuzuia KUCHEZA.
Back up ya Robertson ilikuwa lazima. Jamaa kacheza 3 seasons mfululizo so klopp a najua dogo anaweza kuumia akakaa majeruhi mda mrefu.
Mchezaji yoyote mumtakae akubali kukaa benchi tu kuwasubiri front 3 wachoke.
Huwezi kutoa hela tu ilimradi uonekane na wewe unanunua ni UKICHAA.
Matajiri wanafanya kazi kiueledi kabisa mpaka Sasa. Na wanaenda kwa machale so tulieni. Origi asipoondoka hakuna mtu atakuja pale. Shaqiri asipoondoka msitegemee usajiri.
Jones ndo ashapandishwa hivyo.
Mwaka jana tulinunua van da berg tu kwa buku jero na ubingwa tu kachukua. Wapinzani walitumia kiasi gani na walipata nn.
Ukweli ni kwamba kuna Watu humu JF wanaangalia nani anapost ili wao waandike kinyume na yule aliyepost tu!
Mfano mdogo kabisa!
√ Klopp alimtaka Auba in and out lakini FSG hawakumsapoti kwa pesa.
√ Klopp alimtaka Goretzka lakini FSG hawakumsapoti.
√ Klopp alimtaka Pulisic lakini FSG hawakumsapoti.
√ Klopp alimtaka Coutinho lakini FSG hawakumsapoti
√ Klopp alimtaka Werner lakini FSG hawakumsapoti.
√ Klopp anamtaka Kai lakini FSG wanagoma kumsapoti.
Mwisho wa siku anatokea Anasema Klopp hakuwataka hao eti hawaendani na mfumo wake.
Ukweli ni kwamba FSG sasahivi wanaangalia wachezaji wale ambao ni Cheap ndiyo wanawasajili that's why wamekimbilia kutuletea Minamino, Liverpool haikuwa na uhitaji wa Minamino tuache kujidanganya.
Huyu wa sasahivi nawezasema Fine coz kasajiliwa kama backup ya Robbo! Lakini Je ndiyo priority area kwa sasa?
Hivi hatujifunzi kwa walichotufanyia ATM nje ndani?
Watu watafahamu baadae! Tunarudi zama za kina Downing na Lambert.
Ngoja tuoneBwana wee unajua jambo likishafanyika utasikia mengi.. Inasemekana Liverpool huyu ndogo tumem scout kwa miaka 3 mpaka kuja kumnunua wamejiridhisha anafaa kuja kwetu...
Wanadai pia ndogo anacheza vyema kwenye mifumo tofauti yaani 4 4 2 ama 3 5 2 ama 4 3 3 nk hivyo eti hatujakurupuka..
Muda utasema aisee..
On a bright side ni kwamba soko la jezi zetu Ugiriki litaongezeka na mashabiki pia wataongezeka kwani hua wanadhamini sana wachezaji wao wanaojiunga ligi kuu EPL..
YNWA
Sepp atakuja kuwa usajili wa Karne?Mbadala wa VVD mhmh itakua Fabinhohawa watoto hawaaminiki kabisa japo kuna mahala nilisoma eti huyo Sepp atakuja kua usajili wa karne haha well muda utasema..
Sasa sijui Grujic atabaki ku cover defence maana mbadala like for like wa Fabinho ni Chirvela ambae anaodoka mazima kumtegemea super Hendo hapo tumepoteana mazima..
YNWA
mkuu mbona hiyo 'front 3' ishachoka tayar aisee, wanahitaji kupumzika atleast aongezwe mmoja pale!Mbona salah alikuwa ni 2nd choice.
Embu tulieni. Mtu kuwa 2nd choice sio Kwamba ni kilaza.
Liverpool Wana hela ila sio kutumia hela kama kichaa kama City wanavyofanya wa nanunua wabeki KIBAO mwisho wanawatema kwa hasara.
Huwezi toa £60 kwa werner halafu aje kuanzia benchi. Huo ni UKICHAA na Yeye alitaka kuanzia.
Lakini wote tu najua wale front 3 msimu ujao wanaanza kama walivyo. Mara chache Sana watarotate. Sasa unadhani werner atakubali a subiri tu firminho atoke jasho ndo aingie.na ndo maana AKAENDA Chelsea ambako Abraham haiwezi kuzuia KUCHEZA.
Back up ya Robertson ilikuwa lazima. Jamaa kacheza 3 seasons mfululizo so klopp a najua dogo anaweza kuumia akakaa majeruhi mda mrefu.
Mchezaji yoyote mumtakae akubali kukaa benchi tu kuwasubiri front 3 wachoke.
Huwezi kutoa hela tu ilimradi uonekane na wewe unanunua ni UKICHAA.
Matajiri wanafanya kazi kiueledi kabisa mpaka Sasa. Na wanaenda kwa machale so tulieni. Origi asipoondoka hakuna mtu atakuja pale. Shaqiri asipoondoka msitegemee usajiri.
Jones ndo ashapandishwa hivyo.
Mwaka jana tulinunua van da berg tu kwa buku jero na ubingwa tu kachukua. Wapinzani walitumia kiasi gani na walipata nn.
Inabidi apelekwe chelsea kwa mkopo
Hahaha ndugu kama ni kweli then tutakua pazuri mno...Sepp atakuja kuwa usajili wa Karne?, well muda utasema maana kuanza kumjudge kwa sasa ni mapema!
Sure Mkuu..Ngoja tuone
Ila hili dirisha likifungea bila stable sign(s) FSG wanalawama zangu nyingi Sana
AiseeeeeMara paap tunaibuka na Bakayoko
za kina jlingz au sio mkuu?Haya wanaume kazini tena leo mnakaribishwa wote by 10:00 pm mje muangalia pressing za hatari
roho mbaya hii mkuuAsikwambie Mtu kama kuna mshabiki wa Liverpool anataka Manure kila mwaka ashiriki UCL basi ni mimi huyo!
Manure akishiriki Uropa anaweza kulibeba kilaini Kombe Coz kule kuna Vitimu visivyoeleweka.
Lakini bora aje huku CL kwa Wanaume ambako atakalishwa kiulaini tu na kuishia kutoka kapa.