AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,284
- 4,020
Mbona salah alikuwa ni 2nd choice.Kama issue ni kuwa alifanyiwa scout kwa miaka 3 then why Jamal Lewis ambaye hajafanyiwa scaout hata msimu mmoja aliwekwa ahead of him? Klopp aliweka First Choice Jamal Lewis akitumia advantage ya Relegation but FSG refused to pay what Norwich walichokitaka! Then Klopp decided to go kwenye host Second choice.
So, Kufanya Scout kwa miaka 3 then Lewis akaekwa ahead of him means he failed to meet scout's demand, agree?
Nina mashaka kuwa kuna Mtu ndani ya Jiji la Liverpool anaact kama Haji Manara wa Ulaya kazi yake ni kucheza na akili za Washabiki wa Liverpool tu. Tunadanganywa!!!!!!!!!!!
Embu tulieni. Mtu kuwa 2nd choice sio Kwamba ni kilaza.
Liverpool Wana hela ila sio kutumia hela kama kichaa kama City wanavyofanya wa nanunua wabeki KIBAO mwisho wanawatema kwa hasara.
Huwezi toa £60 kwa werner halafu aje kuanzia benchi. Huo ni UKICHAA na Yeye alitaka kuanzia.
Lakini wote tu najua wale front 3 msimu ujao wanaanza kama walivyo. Mara chache Sana watarotate. Sasa unadhani werner atakubali a subiri tu firminho atoke jasho ndo aingie.na ndo maana AKAENDA Chelsea ambako Abraham haiwezi kuzuia KUCHEZA.
Back up ya Robertson ilikuwa lazima. Jamaa kacheza 3 seasons mfululizo so klopp a najua dogo anaweza kuumia akakaa majeruhi mda mrefu.
Mchezaji yoyote mumtakae akubali kukaa benchi tu kuwasubiri front 3 wachoke.
Huwezi kutoa hela tu ilimradi uonekane na wewe unanunua ni UKICHAA.
Matajiri wanafanya kazi kiueledi kabisa mpaka Sasa. Na wanaenda kwa machale so tulieni. Origi asipoondoka hakuna mtu atakuja pale. Shaqiri asipoondoka msitegemee usajiri.
Jones ndo ashapandishwa hivyo.
Mwaka jana tulinunua van da berg tu kwa buku jero na ubingwa tu kachukua. Wapinzani walitumia kiasi gani na walipata nn.