Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Bro huyu Jamaa ana umri gani?
24 years old mkuu.
Bro huyu Jamaa ana umri gani?
Huyu ndogo kafanana sana na mchezaji wa zamani wa the Gunners Gabriel Paulista..
Huyu ndogo kafanana sana na mchezaji wa zamani wa the Gunners Gabriel Paulista..
Hopefully uwanjani output hatakua kama yeye..
YNWA
Haya ndo mataarifa FSG wanayataka
Hahaha kabisa ndugu wamefanana..
Kuna taarifa ilionesha hatuwahitaji. Mimi pia naprefer tumpate mmoja.Huyu dogo ni hatari sana wakuu, isitoshe ana Assist 11 katika mashindano yote.
Jamal lewis kiukweli sikuwa namuelewa kabisa, hata assist moja hana. Muhimu sasa usajili huu tuhamie kwenye attacking midfielder wa kueleweka hapa huwa tunastruggle sana. CB wa kupartner na VVD hapa naprefer Mbrazil mwenye roho mbaya Diego Carlos au Mualjeria Aisa Mandi.



Msimu ujao haka katimu kataenda ku floap vibaya mnoo..
Amini Kwamba
#CFC![]()
Aha ok unajua tena mimi siyo wa magari ya njanoFlop not floap



Mbona nyumbu mnapigwa kila siku na sajili zenu za kina halima magwayaHii timu inasajili wachezaji wa mchangani
Unaemzungumzia ni world class sasa tumepigwajeMbona nyumbu mnapigwa kila siku na sajili zenu za kina halima magwaya
Nani Halima au.???Unaemzungumzia ni world class sasa tumepigwaje
mwamba wa kujipiga ban, hali vipi mkuu?Msimu ujao haka katimu kataenda ku floap vibaya mnoo..
Amini Kwamba
#CFC![]()
we dogo hivi yule mchezaji wenu james delicious yuko wap? mlimuuza?Hii timu inasajili wachezaji wa mchangani
Hatuna mchezaji wa namna hiyo uyo labda wenuwe dogo hivi yule mchezaji wenu james delicious yuko wap? mlimuuza?