Ndio sisi Mkuu ubingwa umerejea mahala pake...
Hahaha huyo ni Mr Fix wa Klopp... Popote anakaa na anapiga kazi fresh...Hivi mbona fabi ni mwembamba sana Yale mashuti anayatoa wapi jamani..
Kajamaa chembamba ila shughuli yake sio kitt.
Fabi nilipomuona Kule Monaco nikajiuliza hivi hakuna team ya kumsajili??.
Halafu kizuri zaidi fabi ni kiraka.kuna kipindi kule Monaco alichezaga hadi beki ya kulia
Hahahahah Pamoja mkuu .....bado nilikuwa naiwazia ile game na ATM ..Long time Mkuu mmangO salama lakini.....
Mambo ni![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mi naona wangemaliza kabisa na 2020 - 2021 season Hahaha..
YNWA



Nawaza Mechi ya Liverpool na Chelsea itakuwaje?Jana kuwapa ubingwa tumefungua mahusiano ya kirafiki. Yale mambo ya kuja kule kwenye page yetu kutunanga muache.
HONGERENI SANA KWA UBINGWA.
Ndugu zetu Chelsea Mungu awabariki sana kwa kuturahisishia kaziJana kuwapa ubingwa tumefungua mahusiano ya kirafiki. Yale mambo ya kuja kule kwenye page yetu kutunanga muache.
HONGERENI SANA KWA UBINGWA.


Hahah nadhani bado awe refa tu Siku mojaHahaha huyo ni Mr Fix wa Klopp... Popote anakaa na anapiga kazi fresh...
Siku utaona anakipiga namba 9 😂🤣🤣🤣
Real Madrid mwaka jana June walijafanya kuleta ofa Klopp akawaambie hauzwi hata kwa lipi....
YNWA
Na we we umoo??







Sawa tunashkuru kwa maoni yako karibu tenaUbingwa wa hovyo kabisa ambao haujawahi kutokea duniani
Hivi kuna raha gani kuchukua ubingwa mpo lockdown +barakoa mdomoni ,hakuna mashabiki, sasa sijui ni nini
Gundu bado lipo nyuma yenu,
Ni wivu tu unakusumbuaUbingwa wa hovyo kabisa ambao haujawahi kutokea duniani
Hivi kuna raha gani kuchukua ubingwa mpo lockdown +barakoa mdomoni ,hakuna mashabiki, sasa sijui ni nini
Gundu bado lipo nyuma yenu,
Wine na KHatimaye vijana wametwaa ndoo wakiwa wanagonga wine
YNWA