Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

EbY-a1oXsAQWfeJ.jpeg


Thank you Klopp...

Surely you are the sent one...

Kwa wale wasiojua huyu jamaa atakua kwa majogoo mpaka msimu wa 2024...

Hahaha ni mwendo wa kuisaka EPL ya 20 sasa...

YNWA
 
Idadi ya miaka ya ukame mpaka kuja kubeba kombe EPL

Spurs = 59 years
Chelsea = 50 years
Man City = 44 years
Arsenal = 42 years
Man United = 41 years
Everton = 33 years
Liverpool = 30 years

Hizi kondoo zinazokuja hapa na kumake fun of us kwamba ni muda mrefu na ingali walishakaa zaidi ya miaka 40 utafikiri walikuwa safari ya Jangwani kutoka Misri kwenda Kanaani!

 
Idadi ya miaka ya ukame mpaka kuja kubeba kombe EPL

Spurs = 59 years
Chelsea = 50 years
Man City = 44 years
Arsenal = 42 years
Man United = 41 years
Everton = 33 years
Liverpool = 30 years

Hizi kondoo zinazokuja hapa na kumake fun of us kwamba ni muda mrefu na ingali walishakaa zaidi ya miaka 40 utafikiri walikuwa safari ya Jangwani kutoka Misri kwenda Kanaani!

Duh hao wenye 50 vipi Si umri wa MTU kabisa
 
Kwanza Namshukuru Klopp ahsante sana kwa kuturudishia heshima na itaendelea hiyo ndio LiverpoolFC nawapa pongezi mashabiki wenzangu pia wa Jamiiforum sie ndio tunajua furaha yetu ipo vp haijalishi furaha ni furaha tu wacheni wanaojifanya kujisahaulisha waendelee ila wanaona Mabingwa wa Uengereza tunatishaaaa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom