rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Wenzako(Chelsea, Man City, Arsenal, Manchester United) walishakata gundu miaka kibao iliyopita. Ukishalibeba unaanza upya. Ndio maana walikuwa hawazungumzii hiyo miaka kama vile hawazungumzii walioteremka daraja. Tunajua kuna timu kubwa kadhaa zilishuka daraja na kurudi top flight katika historia zao.Idadi ya miaka ya ukame mpaka kuja kubeba kombe EPL
Spurs = 59 years
Chelsea = 50 years
Man City = 44 years
Arsenal = 42 years
Man United = 41 years
Everton = 33 years
Liverpool = 30 years
Hizi kondoo zinazokuja hapa na kumake fun of us kwamba ni muda mrefu na ingali walishakaa zaidi ya miaka 40 utafikiri walikuwa safari ya Jangwani kutoka Misri kwenda Kanaani!
![]()



