Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool n bingwa tayar hata ligi ikisimama kabsa na msimu ukaisha leo hii liver atapewa kombe, wenzetu siio kama ss, wako very fair hadi wakaweka kwny label yao "my game is fair play", tatzo tu n wajinga fulani wako afrka mashariki Tz wanjidai ety liver hapewi kombe
Ww nan kasema🙂 FOREVER REDS // YNWA
 
Epl walishasema corona ikizingua na baadhi ya timu zinavyopinga ligi kuendelea basi anayeongoza ndo bingwa na wa mwisho kushuka daraja na championship watatu kupanda
 
Liverpool n bingwa tayar hata ligi ikisimama kabsa na msimu ukaisha leo hii liver atapewa kombe, wenzetu siio kama ss, wako very fair hadi wakaweka kwny label yao "my game is fair play", tatzo tu n wajinga fulani wako afrka mashariki Tz wanjidai ety liver hapewi kombe
Ww nan kasema🙂 FOREVER REDS // YNWA
YOU WILL NEVER WALK ALONE | FOREVER RED |
 
Hebu chukueni hicho kikombe mnyamaze, nnachojua hata mkibeba hakutakua na gwaride/msafara wa ubingwa. Picha zenu za kumbukumbu zitakuwa ni wachezaji tu, kama vile picha za graduation ya watoto wa darasa la saba tu.

#GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20200522-173156-1.jpg


Hao sisi
 
Hebu chukueni hicho kikombe mnyamaze, nnachojua hata mkibeba hakutakua na gwaride/msafara wa ubingwa. Picha zenu za kumbukumbu zitakuwa ni wachezaji tu, kama vile picha za graduation ya watoto wa darasa la saba tu.

#GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna kona ya dunia ya soka ambayo haijui gwaride letu kikubwa kombe tu

Jiji lile lina watu 5o0k gwaride la mwsho la UCL lilikuwa na watu 750k

This is Liverpool
 
Siamini kabisa kama liverpool inaweza kuchukua epl

Hapa nawaza

Man city atawabonda

Villa itawapiga

Chelsea atawapiga

Vipigo bado vipo sanaa

Sasa hapa liverpool ubingwa anachukulia wapi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini kabisa kama liverpool inaweza kuchukua epl

Hapa nawaza

Man city atawabonda

Villa itawapiga

Chelsea atawapiga

Vipigo bado vipo sanaa

Sasa hapa liverpool ubingwa anachukulia wapi



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna muda huwa natamani kukujibu ila nasita

nisije nikawa nabishana na mental case hapa

Mkulima wa mahindi
 
Ukae vizuri ikuingie hii pia man city akipoteza game siku ligi ikirejea tu na lfc ikashinda basi shughuli inakua imeisha
Siamini kabisa kama liverpool inaweza kuchukua epl

Hapa nawaza

Man city atawabonda

Villa itawapiga

Chelsea atawapiga

Vipigo bado vipo sanaa

Sasa hapa liverpool ubingwa anachukulia wapi



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom