Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_7978.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Liverpool HALISI hamna haja ya kutukana team,waacheni Liverpool MASLAHI waendelee kutukana team!
Tulikuwa na msimu mzuri sana na tumechukua EPL.
Sasa tuanze maandalizi ya sherehe yetu inafanyikia wapi na lini


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaaa eti Liverpool halisi vs Liverpool maslahi

pension upo kundi gani wewe
 
Acha visingizio... mbona na watford hamkumnanga kipa wenu!!

Nikukubali mmepigwa hata ukisema utoe hizo goli mbili mshinde 2-1 bado mlikua hamchomoki..

Ni kukubali tu mmetoka na sio kuleta visingizio
Of course sina shida na Adrian kwa game ya Jana coz nilikwisha uona uwezo wake since mwanzo wa msimu that's why ninakosoa kiujumla na sio only one game.

But hiyo paragraph yako ya mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Em waulize tu kwani nani alikua golini kwenye mechi na watfor!!


Mbona migoli ni kama ile ile tuu...


Waache kujitetea wala haito badilisha kitu
hivi nyinyi watu kwanini mna roho mbaya na ya uonevu kiasi hicho???
kwanini mnapenda kuwaangushia watu jumba bovu ilimradi kulinda muwapendao?
magoli yote matatu ni uzembe wa mabeki wakiongozwa na untouchable VVD jamaa limeflop limebakia nywele tu, yaani afadhali ya Said Juma Makapu...
magoli yote mfungaji anapiga katika msitu wa mabeki, mabeki watatu wanageuzwa kama bigmachapati anavyogeuza chapati zake.
poor you loser

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, Adrian should be respected for what he has offered all season long.
Sioni alicho-offer huyu mnamuona wa maana sababu Mara nyingi alivyoidakia Liverpool amepata shield kubwa kutoka kwa mabeki, hata hii gemu ya ATM dakika 90' alilindwa sana na mabeki, target alizopigiwa oblak angekuwa ndo Adrian nakuambia angefungwa goli kumi.
 
Sioni alicho-offer huyu mnamuona wa maana sababu Mara nyingi alivyoidakia Liverpool amepata shield kubwa kutoka kwa mabeki, hata hii gemu ya ATM dakika 90' alilindwa sana na mabeki, target alizopigiwa oblak angekuwa ndo Adrian nakuambia angefungwa goli kumi.

Value for Money!

Timu inayohitaji kuwa contender kwenye makombe mengi haitakiwi kwenda kuokota wachezaji walioachwa na timu kama Westham. Imagine, Westham wamemtema, akakaa zake home hana timu nyingine, sisi tukaenda kumchukua ili kumfanya awe kipa namba 2, unategemea akupe nini?

Nani wa kumlaumu?
 
Value for Money!

Timu inayohitaji kuwa contender kwenye makombe mengi haitakiwi kwenda kuokota wachezaji walioachwa na timu kama Westham. Imagine, Westham wamemtema, akakaa zake home hana timu nyingine, sisi tukaenda kumchukua ili kumfanya awe kipa namba 2, unategemea akupe nini?

Nani wa kumlaumu?
Kwa kweli hapo ndo tulipochemka.
 
Tushukuru hata kwa kidogo tunachopata...

Kuna club hata uefa ya mwakan hawataiona wakati huo sisi tuna uhakika na epl tunachukua why tuanze kualalmika kama wengine hawahitaji hayo makombe..

Tukishinda kila game yatakuwa sio mashindano, na hatuwez kuwa bora kila sehemu, adrian kazngua ndio lkn ili ufungwe lazma ufanye makosa,

Tumekuwa wazuri siku za hv karibuni tunasahau tulikotoka.. em tuacheni kujipa maumivu yasio ya lazma,

Nikiangalia hali ya man u, na club kama arsenal, mimi liverpool nikilaum nitakuwa nakufuru..

Mashabiki wengne lazm wa ongee haijalishi tuko vzur zaidi yao ama vp... na huu ndio mpira

TWENDENI TUKACHUKUE EPL WANANGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Of course sina shida na Adrian kwa game ya Jana coz nilikwisha uona uwezo wake since mwanzo wa msimu that's why ninakosoa kiujumla na sio only one game.

But hiyo paragraph yako ya mwisho
Damn you King Ngwaba Hahaha Adrian Karius Hahahahaha.....

Poor him that was his best man boy stud got stuck in the mud haha thought its rained everywhere ama upande wetu tu ndio ulikua na mvua...

Cheap vs most valuable keeper in the world the result speak volumes...

Our front three are somehow losing the scoring instincts... 35 shots on target and only two goals,... Alet had 6 shots on target and 3 goals... When we point to Adrian failure to the 1st goal let's also see the big picture its a high time Klopp brought in a real number 9 guys this game has laid the way forward in June transfers..

Now we go again hope he won't be vulnerable as jana vs Anceloti come Monday...

Congrats to the boys it's been thriving two seasons of UCL we say thanks in real.. Losing ain't the of the world.. We have been here and will come back again stronger..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom