Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahaa kumbe wewe arsenal...hahhaaha

Endeleeni kupambana huko chini wehu nyinyi, acheni wanaume tupambane huko juu, nyau nyie, yani mnapambana nafasi ya kumi huko halafu mnapata muda wa kuwacheka liverpool wanaochukua ubingwa wa epl mwaka huu, nyie kweli wendawazimu
wewe ongea yote ,ita watu wendawazimu lakini maneno yako hayatavunja furaha yangu ya rekodi yangu ya kutokufungwa katika msimu wote wa ligi.....wewe nyumbu huna hata sababu ya kucomment hapa ungetulia tu mbugani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We playing as if we we don't want to winthis match.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nimesoma mahala eti the boys are so used to winning mpaka wameboeka maana anaewafuata yupo mbali sana nyuma 22 points behind hivyo hawana fear ya kua overtaken any time soon... Pathetic lol...

This loss since winter break has been coming and if you look vs Norwich and Hammers utaona we haven't been as clinical as we were in those past...

It's wake up call...

YNWA
 
Pambana na nafasi ya kumi huko akina westham
mkuu mimi nina jambo langu hapa hahahahahhahahahahhahah unakumbuka mara ya mwisho uliniambia nini?ulisema kuwa suala la ubingwa wewe huna shida nalo maana tayari ushabeba na huo ndio uhalisia ,ila ulikuwa unataka kuvunja rekodi yangu ya unbeaten hahahahahahahahahahhahah nina furaha sasa maana ndicho ninachoringia kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom