Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

fikra za kuchukua ubingwa bila kufungwa mlikuwa nazo hasa,sema limetokea hili kama ajali tu.....
Tulia kijana onyesha sehemu mie binafsi nimesema tutamaliza bila kufungwa? sasa tizama watavyocheza mpira ule unaotakiwa wa Mane,Firminho,Salah kule mbele sasa timu ipo free wakati tunaenda kubeba Kombe nyie mtaendelea kushindana na Burnley msahau kusikia Kombe La Uefa sehemu rahisi la kuliona nyie karibia labda nendeni Stamford Bridge!
 
Kwa mawazo yangu nadhani Sababu kuu ya Liverpool kufungwa sasa ni UCHOVU & MENTALITY ya wachazaji.

1. UCHOVU:- Wachezaji wa Liverpool wametumia nguvu kubwa sana kwa kipindi kirefu kushinda mechi. Mfano kule mbele magoli yanayofungwa ni ya kutumia nguvu sana.

Mara Salah kakokota, speed kali, kupambana na mabeki, huku kavutwa, ukija kwa mane magoli anayofunga ni zaidi ya vita anapambana nguvu nyingi mpaka na maserekasi aisee.

Achilia mbali nguvu wanayotumia mabeki kukaba na kupanda kushambulia kwa kasi na kurudi fasta kukaba.

Kwa muda uliobaki mchezaji mzuri utamuona mbaya kwa sababu ya UCHOVU, wengi hawatacheza katika kiwango bora.

2. MENTALITY:- Hili liko wazi wachezaji wanafahamu Liverpool tayari ni bingwa EPL msimu huu. Wanasubiria tuu muda ufike wabebe ndoo. Hawaoni haja saaana kuendelea kutumia energy kuuuuuubwa kumalizia mechi zilizobaki.

Ila Liverpol angekuwa anafukuzwa hapo nyuma kwa tofauti ya point chache, weee wachezaji wasingebweteka jana Watford angekula marungu ya kutosha.

Nadhani mashabiki muendelee kuwashangilia kuelekea mwisho mzuri wa kusisimua kubeba kombe. Sioni haja ya kuwasema, kuwakosoa zaidi ya kuwapongeza tuu kwa kazi waliofanya.

Aisee wanaume wametoka mbali kufukuzia huu ubingwa. Wanastahili pongezi kila siku.

Halafu wewe king Ngwaba dawa yako inachemka msimu ujao, umetusema sana kule SHUBAAAMIT zako.

Sent using Cash Money Wings
Klopp namuaminia sasa wachezaji utaona mpira ule wa malizia LFC safari hii walikuwa wanacheza Mpira nyuma sana Dyk na wenzake na mabeki wa pembeni na kunyanyua mpira ndomana ikitokea goli basi ni yale ya imesobdoshwa moja bao sasa hivi nyuma watatulia game itachezwa na Midfield then washambuliaji katika wale watatu game kama tatu utaona kati ya hao wawili anafunga magoli mawili sasa hivi kama wamechokozwa vile.
 
Yaani wanajidai hawajaona maboko ya VVD, utasikia wanamlaumu Lovren tu

Sent using Jamii Forums mobile app
VVD anakukoseshaga raha mwamba he is total above your racks there at the back.
IMG-20200301-WA0009.jpg
haya mbishie na Troy basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya Kubeba Kombe la EPL haya maumivu ya Leo yote nitayasahau
tulia usijali haya Klopp aliyajua yanaweza kutokea kupiteza hata game tatu ila hakutegemea kwa Watford safari hii tulikuwa tunashinda ila kwa tabu sababu players ndio walianza fikra nao za kucheza kwa kutotaka kupoteza, ndomana mpira unakuwa pasi za taratibu sana na zinakuwa kwa mabeki then beki wa pembeni, LFC kuanzia sasa hivi ni watakuwa zinarudi zile killer pass na speed! na kujaribu kumpima kipa. uzuri game ni 10 na Anfield sahau mtu kushinda so away tukishinda game tatu tu na home zote unaelewa hapo.
 
ukweli ambao wengi hatutaki kuukubali ndio huo mkuu........

kwenye defence timu yetu ni bora sana kuliko karibia timu zote ulaya, kwenye mido timu yetu 'haina shida' sana , tatzo kidogo ninaloliona ni 'kukosekana kwa keita'......hivyo tumekosa link kati ya mido na fowards!

kule mbele sasa ndio tatizo lilipo, japo wengi huwa tunavunga hatulioni ila lipo sana!..... kule mbele timu haina plan b, haina mtu wa kutokea bench!

kwangu mimi hapa tulipofika, kati ya salah na mane mmoja ikija offer nzuri auzwe then wanunuliwe wawili wenye ubora (proven, timo nadhan ni mmoja wapo) na mwingine wa kutupa plan b!


case ya keita ni pasua kichwa, it hurts aisee!.....
Yaani umuuze Salah au Mane afu umlete Timo Warner?! Huku ni kuchanganyikiwa na kipigo au?
 
Partnership ya VVD na Lovren kamwe haiwezi zaa matunda na sababu ni very simple - hamna wa kusema amtazame mwenzake kama kiongozi, kila mtu ni fahari ndani ya zizi. VVD anaweza mtuma Gomez, akatii, yeye akawa wa mwisho kufanya clearance. Gomez looks at VVD as a model - somebody to listen and watch - hivyo kunakuwa na cohesion. Zaidi, Gomez ana kasi, akili na utulivu (he plays with heart and mind).

Overall timu haikuwa katika kiwango kizuri. Pengine ni fatigue, hatuwezi tegemea wacheze kiwango kimoja all days in and out.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool ilikua haishindanii rekodi ya kutofungwa

Liverpool inagombania kombe

Waacheni msiwajibu kitu wana hasira sana

Hii team imewaprove wrong muda mrefu

And that is how humans acts generally

Love you all lfc fans

Win or loss we are together

Ynwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Well said kop

Napigia msumari kabisa
 
Yaani umuuze Salah au Mane afu umlete Timo Warner?! Huku ni kuchanganyikiwa na kipigo au?
umesoma ukaelewa mkuu?...... nilidhani ungekosoa hoja niliyoiweka na sio jina la mchezaji niliemtaja maana huyo nimemtaja kwa mtazamo wangu!

hoja ya msingi ni front 3 yetu iletewe damu mpya, tukibaki na hawa hawa watatu next season tutakwisha!..... wameshapeak, there is nothing more they can do!


N.B/ baada ya kubeba ndoo ya epl, mastar wetu wengi watakua wametimiza ndoto yao kuu (epl+ucl)..... unadhan kuna nini kitawafanya wawe motivated?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom