MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,208
- 2,591
Point ya msing umetambua kama sisi ni mabingwaMabingwa uchwaraa. Narudia tena hakuna timu ya hovyo kama liverfools timu uchwara ndo hii kuwahi kutokea pale England.
Mmebahatisha na litimu menu bovu. Hakuna bingwa mbovu atakayewahi kutokea uingereza kama liverfools.
Timu ya hovyo na uchwara ndo hii.
Jiandaeni ndani ya game tatu hizi kwanza ya Leo lazima mtapigwa tu. Ile rekodi ya invisibles ya Arsenal hamuwezi kuvunja kutokana na kua na kikosi uchwara so muache kuota ndoto zenu tata za unbeaten 50 will never happen.
#tubingwa tuchwara. # Henderson for balon dor hahaha kweli mmeishiwa Sera hadi hutu tu hendo mnasema for balon for and PFA.
#GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app