Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Oook hapana Harry ni Mchezaji wa kawaida minus his dead balls accuracy ila akija ni bench warmer hivyo kama Bono wakileta mkwaja tuchukue mapema wapo wachezaji wazuri tu Wa kusapoti benchi letu Kwa bei chee kama Emiliano wa Norwich...Mi navyoona unaposema Harry kuwa kumreplace Keita wakati ye hajaonesha kile tulichotarajia zaidi ya injuries Kila baada ya muda ...sidhani kama unaweza kumuweka Harry mbadala wa keita maana hata first eleven kuanza ni kwa mbinde ...Harry bado mchezaji wa liver akija atasugua benchi tu kama Keita so labda replacement ya Keita huko benchi...hapo sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kama ni proper upgrade wapo wachezaji level za juu kama Fekir, Coutinho, Kai nk..
YNWA



