Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_7846.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hahahahahaha kwanza unaivunjia hesima London ..haiwezi kuwa red hata Siku moja, umesahau kwamba sisi ndo KING of LONDON wa muda wote? Futa iyo kauli yako ya 'London is red' maana ni kosa la jinai kufanya ivyo.

Pili sisi tunaenda kupindua Mesa pale alianz maana tuna recod ya kubeba ubingwa pale..

Tuna uhakika game utakuwa ngumu sana..

Bila kutarajia tunaeza shinda nne pale. Maana wal e madingi watacheza kwa kurelax then sisi tutafanya kweli apo apo..

This is Chelsea

#CFC
wewe siku utapoacha kuvuta bange ndio utakapoacha kushabikia Chelsea,maana hizo ganja ndio zinakufanya uione hiyo chelsea kama barcelona😀😀😀 na hili turubai tukilitoa hapa linahamia kwako ,maana bavarian lazima wakutindue.....


London is Red

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mashabiki wa Makundi 2

1) Wale Wanaoona kutokuwepo kwa Hendo ndiyo sababu ya Timu kuborong

2) Wale wanaoona ni overall performance ya Timu ipo chini ndiyosababu ya Timu kuboronga.

Third, Fourth or more groups are negligible.

But narudi tena kwenye stats, Mimi ninachoamini ni kuwa number don't lies.

Without stats no real football.

Tuanze kuangalia hapa ili tujuwe kama hizo sababu za hayo makundi mawili ni sahihi or just ni emotions tu.

1) Tulicheza na ATM tukiwa na kikosi kamili! Henderson in, Lovren kwenye bench.
But tulifungwa na tukatoka na ZERO SHOT ON TARGET.

2) Tukacheza na West Ham without Henderson, na Lovren alikuwa Benchwarmer, but tuliconcede 2 goals, tulishinda hiyo game with 7 ON TARGET.

3) Tumecheza na WATFD bila ya Henderson, but Lovren alikuwemo uwanjani! Tumefungwa 3 - 0, tukipiga only ONE ON TARGET.

Katika michezo 3 tumepiga On Target 8 tu kwa ratio ya 2.67 per game.

Je hapa hatuoni kuwa hata kwenye Front 3 yetu kuna tatizo?
Kwanini tunainyooshea kidole Mido na Defence tu?

Hivi kinachomaanishwa ni kuwa Front 3 yetu ni untouchable?
Au bado Watu wanaendelea kulishana matango pori kuwa hakuna mchezaji anayeweza kupata namba mbele ya Front 3 yetu?

Mimi nadeclair wazi kuwa Front 3 yetu ni nzuri lakini ni OVERRATTED.

uwezo wao ni wa kawaida isipokuwa Klopp system ndiyo inayofanya kazi, Wako sahihi wanaosema mchezaji kama Firmino ni System player ambaye nje ya Klopp system anakuwa exposed.

Nimeyaandika haya ili kuonesha kuwa hakuna haja kumnyoshea kidole mchezaji mmoja mmoja bali tatizo ni kwamba Timu nzima ina underperform huo ndiyo ukweli.

Naamini tutarejea kwenye Form but tuwe wastahamilivu.
 
Respect Man united Don sisi ndiyo tuliyewazuia msiwe na 100% win kwenye mechi zote mlizocheza.

Mtoeni Chelsea kwenye FA tukutane tena tulipe kisasi cha kutufunga pale Anfield.
Ukiwa na timu mbovu inayofungwa mara kwa mara huwezi kuwa na maadui. Mfano wa Man Utd Arsenal na Chelsea; kwa nini uwachukie?

Ukiwa unafanya vizuri sana lazima utengeneze maadui. Hakuna mpinzani anayependa kuona mwenzake anashinda kila mara.

So, chagu moja; ufanye vizuri uwe na maadui au uwe average au below usiwe na maadui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi mzee,kiukweli mimi naamini wachezaji hawa wanasumbuliwa na fatique......maana wametumika almost msimu mzima kupumzika kwao ni pale wanapokuwa majeruhi tu,na mchoko huu wameupata katika nyakati ngumu za ligi,nyakati ambazo kuna vita kuu mbili,
1.Kuna wale wanaojikwamua kushuka daraja.
2.Kuna wale wanaopambania big4.


Jambo la kushukuru hapo ni kuwa mmeshajihakikishia ubingwa lakini kama kungekuwa na gape la points 5 au 6 hata huu ubingwa wenyewe ingekuwa ngumu sana kuuongelea.



NB:Halisi tupo msitusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ilo gape linapunguzwa tu ..Kila kitu kinawezekana mikakati ipo..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ollachuga akija atasema tumeshapoteza ubingwa afuu atakuambia chelsea ndo bingwa
 
Hahahahahaha kwanza unaivunjia hesima London ..haiwezi kuwa red hata Siku moja, umesahau kwamba sisi ndo KING of LONDON wa muda wote? Futa iyo kauli yako ya 'London is red' maana ni kosa la jinai kufanya ivyo.

Pili sisi tunaenda kupindua Mesa pale alianz maana tuna recod ya kubeba ubingwa pale..

Tuna uhakika game utakuwa ngumu sana..

Bila kutarajia tunaeza shinda nne pale. Maana wal e madingi watacheza kwa kurelax then sisi tutafanya kweli apo apo..

This is Chelsea

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
Mesa hamuwezi kuipindua mkuu.hahahaaaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Respect Man united Don sisi ndiyo tuliyewazuia msiwe na 100% win kwenye mechi zote mlizocheza.

Mtoeni Chelsea kwenye FA tukutane tena tulipe kisasi cha kutufunga pale Anfield.

Sent using Jamii Forums mobile app

Football gods hawakutaka tuivuke hii record ya City, 18 straight wins. Ndiyo maana hata tulipotaka kuivuka tumekutana na dhahama.
 
We lose we win we draw....but we will never walk alone....ata tusngefungwa leo kuna game tungefungwa tu baada ya kujhakkshia ubingwa...uzuri hii inatusaidia tujue mapungufu yetu na kusajili vyuma mana game ka ya leo isingetokea naamini dirisha lijalo klopp angejiamin but rn lazma apange kitu flani...namuona werner na wengne wawl tukisjali
 
Kikosi cha Kwanza cha Liverpool:

1) Alisson
2) TAA
3) Gomez
4) VVD
5) Robbo
6) Faby
7) Hendo
8) Gini
9) Salah
10) Bobby
11) Mane

Subs:
OX
Keita
Origi

Sioni subs nyengine inayoweza kubadilisha chochote zaidi ya hawo 3

We've a very limited squad

- Salah tayari ameshapoteza Half of his Skills
- Firmino not the one we used to know! Technically ameanza kupungua
- Mane ndiyo 100% amebakia kuwa Mane himself! He's still a threat kwenye lango la opponents.

Next Window One Attacking Midfielder na One Striker wanahitajika ili tubaki salama.

Tukumbuke kuwa sasa ni wakati wa kuaccept the truth kwamba KEITA and OX ni failed project. I've no doubt kuhusu Vipaji vyao, but my concern ni injury prone zao ndizo zinazofanya availability yao kuwa ni disadvantage rather than advantage.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom