Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wazee poleni ila wala siwacheki nawapa heshima yenu, mmeshaweka rekodi, na ubingwa EPL mnachuku, hilo halina shida, kama kuna wendawazimu ambao wanadhani liverpool hachukui premier league mwaka huu, hao watakua wavuta ganja,
Pia game muhimu ya ku focus ni ya UEFA , kati yenu na A.Madrid.



Sent using Jamii Forums mobile app
rekodi gani unayoizungumzia wewe?
ya city wameifikia hawajaivunja,ya Arsenal hata kuifikia hawajaifikia....labda kama rekodi ya kupigwa 3-0 na Watford katika tarehe 29february ambayo sidhani kama mwakani itakuwepo hivyo itawasahaulisha katika kufanya kumbukizi ya huu msiba.
 
Yani naona kuna wendawazimu nawasoma wanawacheka liverpool kufungwa, mimi ni man utd lakini sidhubutu kumcheka, wengine hapo timu zao zimetolewa europa wanaugulia maumivu, na wengine hapa ni mabingwa watetezi wa epl iliyopita wanafurahi na wanajua ya kwamba epl ya mwaka huu hawachukui, wengine hapa ni barca wanawacheka liverpool sababu wanakumbuka kipigo cha mbwa mwizi uefa iliyopita na zaidi wanajua ubingwa hispania hawachukui na uefa hawachukui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahio unafurahia kinyama kwamba rekodi hazijavunjwa ...jana hamjagawa bia za bure kweli mana sio kwa furaha hii
Wewe unashika nafasi ya ngapi ligi kuu epl tuanzie hapo kwanza
rekodi gani unayoizungumzia wewe?
ya city wameifikia hawajaivunja,ya Arsenal hata kuifikia hawajaifikia....labda kama rekodi ya kupigwa 3-0 na Watford katika tarehe 29february ambayo sidhani kama mwakani itakuwepo hivyo itawasahaulisha katika kufanya kumbukizi ya huu msiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani naona kuna wendawazimu nawasoma wanawacheka liverpool kufungwa, mimi ni man utd lakini sidhubutu kumcheka, wengine hapo timu zao zimetolewa europa wanaugulia maumivu, na wengine hapa ni mabingwa watetezi wa epl iliyopita wanafurahi na wanajua ya kwamba epl ya mwaka huu hawachukui, wengine hapa ni barca wanawacheka liverpool sababu wanakumbuka kipigo cha mbwa mwizi uefa iliyopita na zaidi wanajua ubingwa hispania hawachukui na uefa hawachukui

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ongea yote ,ita watu wendawazimu lakini maneno yako hayatavunja furaha yangu ya rekodi yangu ya kutokufungwa katika msimu wote wa ligi.....wewe nyumbu huna hata sababu ya kucomment hapa ungetulia tu mbugani.
 
Liverpool ilikua haishindanii rekodi ya kutofungwa

Liverpool inagombania kombe

Waacheni msiwajibu kitu wana hasira sana

Hii team imewaprove wrong muda mrefu

And that is how humans acts generally

Love you all lfc fans

Win or loss we are together

Ynwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mutabadili maneno yote ila ni kwamba mulitaka kuvunja rekodi ya Arsenal ..imefeli iyo bro..

Ligi mutabeba ila kuna mikakati tunaipanga musibebe..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
rekodi gani unayoizungumzia wewe?
ya city wameifikia hawajaivunja,ya Arsenal hata kuifikia hawajaifikia....labda kama rekodi ya kupigwa 3-0 na Watford katika tarehe 29february ambayo sidhani kama mwakani itakuwepo hivyo itawasahaulisha katika kufanya kumbukizi ya huu msiba.

Hahaha, Watford amesababisha hii thread iwe maarufu ghafla.

Mlitukimbia kabisa nyie jamaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom