Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Acha pumba weee mishara isingetofautiana kama kweli wana michango sawa m bovu anatukanwa tu huo ndo ushabiki juzi ulisema Keita hafai au sio wewe jana asie faa nani?
Please Kop!!!Please Kop!!!@
Tusilalamike sana,Tusiwatukane wachezaji wetu,Tusimtukane Manager ,Walipotufikisha ni Mbali.Tuwape Respect.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa na timu mbovu inayofungwa mara kwa mara huwezi kuwa na maadui. Mfano wa Man Utd Arsenal na Chelsea; kwa nini uwachukie?

Ukiwa unafanya vizuri sana lazima utengeneze maadui. Hakuna mpinzani anayependa kuona mwenzake anashinda kila mara.

So, chagu moja; ufanye vizuri uwe na maadui au uwe average au below usiwe na maadui.
hakuna uadui katika michezo mzee?mkae mtulie,mmechonga sana ...katika michezo kuna tambo na majigambo tu ambayo upande mmoja unakuwa na furaha na mwingine ni kero...........

hahahhahahahahahahhahaha
 
hakuna uadui katika michezo mzee?mkae mtulie,mmechonga sana ...katika michezo kuna tambo na majigambo tu ambayo upande mmoja unakuwa na furaha na mwingine ni kero...........

hahahhahahahahahahhahaha

Nilikuwa namkumbusha jamaa kwamba huwezi kuwa na timu mbovu halafu watu wakaiombea njaa. Maana tayari ina njaa.
 
Dah yaani mchinjaji ndio hula kichwa Ila unawapa United
Uyu kuku aliyechinjwa jana tunamlaje wakuu..
Mim napendekeza tumle ivi..

Sisi waombolezaji kutoka Chelsea kutokana na hadi yetu tutakula upaja na mgongo.

Wale wa arsenal wao miguu pa1 na firigisi zinawatosha.

Wale wa Man u wao watakula utumbo na kichwa.

Wale wa spurs na man city wao watagawana vipapatio na maini..

Sehemu ingine iliyobakia watapewa wale wadhamiaji wa msiba kutoka club zingine..

Hii ndivyo tunavyomla uyu kuku..

Asanteni mnakaribishwa nyote..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lovren sio beki imara.
Gomes aliweza kumpa TAA nafasi ya kujiamini na kupeleka team mbele.
Ox sio mido sahihi.
Huyo jamaa ndo walewale Kloop anajua zaidi wala usijipe tabu

Inabidi leo watuambie kati ya Kloop na Hendo nani akosolewe matokeo yakiwa mabovu
 
Ulikuwa unapenda sana kunitusi na kunionesha maneno ya dharau, na kibaya unayaongelea kwa muendelezo, deep in me nilikuwa naumia uku nikijua am 100% right, ila we unaongea sana ukijua yur100% right but mi nikiona your thinging is normal na ile ya kawaida kwa kuangalia matukio tu
But nafrah unaendelea kupata funzo dunia haiko hivyo kama unavyoona, lazima kuna reasoning ya matukio tofauttofaut na kuangalia kila dot na sio kuamini katika stats uchwara zako zinazokuendesha

Ukijiskia vibaya sorry, but ndo nilitaka uelewe tu hilo, yur not clever as you think, na kuwa na mapenzi haimaanishi unajua, same as to Gerrard, kuwa na mapenzi na tactics ni vitu viwili tofaut
Yani huyo jamaa sijui shida ni nini! Nashindwa kuelewa.
Na cha ajabu Mimi hata simquote wala simjadili lakini yeye haridhiki kama hajanitaja.

Au anahisi hapa tunagombania umaarufu?

Nadhani afahamu kuwa JF mimi sijuilikani nyuzi yoyote isipokuwa Nyuzi hizi za Michezo.

Kwenye Nyuzi nyengine hata hawajuwi kama kuna Mtu anaitwa King Ngwaba.
Basi na aende tu huko kwenye nyuzi nyengie akajitangaze awe maarufu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachapia sana mkuu, au umepanik?
nakubaliana na wanasosema LFC ilikuwa haina fikra ya kutofungwa japo wachezaji walikuja kuwa nayo sabababu media bdio wenye kuongea hayo zaidi, mpaka wachezaji wa LFC wanaweza kuwa wakawa nayo ndomana walikuwa wanacheza pasi za taratibu, ila mashabiki wa LFC wanafikiria kombe zaidi, sasa ile kutofungwa imetoka moto unaokuja wa wachezaji kucheza kwa kasi utakuwa mzuri game tatu mfululizo ushindi muhimu na utakuja kila game sio chini ya goli mbili mtaona wenyewe kama sio ubingwa Manchester basi baada ya game ya Man City ubingwa upo. na isipokuwa hivyo siwi mshabiki tena wa mpira Ubingwa upo palepale roho zitawauma tu ubingwa upo palepale. bora wajigambe Watford ba Point tatu kuliko Man U wangejigamba na point 1.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufungwa na watford kumeniuma sana kwa kweli hizi game 3 za mwisho sijui tatizo ni nini?

Timu sasa ndo inaenda kucheza mpira halisi siyo tena ku-defend au break a record ... we are going to start another new record

Sasa hivi timu pinzani wametujulia wachezaji 10 wanakaa nyuma wanazuia tu. Kama watapata nafasi wanaenda kushambulia.

Muda mwingi mpira tunaosisi wao wanatusubiria golini tu pale tukifika hapo wao wako 10 sisi 4 tu.

Hapo sasa kupata shot on target ni ngumu ,mipira mingi ikipigwa inazuiliwa.

Mkuu me naamini tunaenda kuanzisha record nyingine,watu wanashangilia wakiamini record ya Arsenal aijafikiwa ndio basi kama hakuna tena ligi.nawakati liverpool anaenda kuanza kutengeneza record upya tena.

KupotezA hiyo mechi imetupa funzo sana sasa tupambane na mbinu za timu zinazokaa tu nyuma wachezaji 10 wote.maaan kwenye kucheza mpira wote tumewazidi hawatuwezi wanakimbilia kukaa nyuma wachezaji wote.




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
They tired to walk alone, from yesterday they started to walk together with Watford
IMG-20200301-WA0014.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom