Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wale ndugu zangu msiojua jina la utani la Watford ni Hornet ndio huyu
images (14).jpg
images (13).jpg
 
Ulikuwa unapenda sana kunitusi na kunionesha maneno ya dharau, na kibaya unayaongelea kwa muendelezo, deep in me nilikuwa naumia uku nikijua am 100% right, ila we unaongea sana ukijua yur100% right but mi nikiona your thinging is normal na ile ya kawaida kwa kuangalia matukio tu
But nafrah unaendelea kupata funzo dunia haiko hivyo kama unavyoona, lazima kuna reasoning ya matukio tofauttofaut na kuangalia kila dot na sio kuamini katika stats uchwara zako zinazokuendesha

Ukijiskia vibaya sorry, but ndo nilitaka uelewe tu hilo, yur not clever as you think, na kuwa na mapenzi haimaanishi unajua, same as to Gerrard, kuwa na mapenzi na tactics ni vitu viwili tofaut

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna ninachoweza kujifunza kutoka kwako! If you think you're teaching me a lesson basi you are wrong...

Nothing I can learn from you... Narudia tena you are nothing to me! Kukupuuza wewe doesn't mean I've learnt something from you! I'm who I am, I do what I wanna do.

If you are using your brain instead of your shit you'll find out kwamba Mimi kuamua kukuignore wewe means huna faida yoyote kwangu.

Bora ungenyamaza tu usijiproud kwa kitu kilichokuwa hakipo.

Hebu juwa kupuuzwa.
 
Huyu ni Nyuki?

No mzee ni mavu jamii ya nyingu ila ana madoa ya njano kama umewahi kumuona.

Ndio anaitwa Hornet nickname ya Watford hata jezi zao wamechukua rangi ya mdudu huyo.

Kama Newcastle walivyochukua Rangi ya ndege Magpies ambao ni nickname yao.
 
Sasa hivi timu pinzani wametujulia wachezaji 10 wanakaa nyuma wanazuia tu. Kama watapata nafasi wanaenda kushambulia.

Muda mwingi mpira tunaosisi wao wanatusubiria golini tu pale tukifika hapo wao wako 10 sisi 4 tu.

Hapo sasa kupata shot on target ni ngumu ,mipira mingi ikipigwa inazuiliwa.

Mkuu me naamini tunaenda kuanzisha record nyingine,watu wanashangilia wakiamini record ya Arsenal aijafikiwa ndio basi kama hakuna tena ligi.nawakati liverpool anaenda kuanza kutengeneza record upya tena.

KupotezA hiyo mechi imetupa funzo sana sasa tupambane na mbinu za timu zinazokaa tu nyuma wachezaji 10 wote.maaan kwenye kucheza mpira wote tumewazidi hawatuwezi wanakimbilia kukaa nyuma wachezaji wote.




Sent from my iPhone using JamiiForums
He....mumekuwa kama Yanga sasa ,Malalamiko fc .......sasa kwanini na wewe usingekaa nyuma wote 11 ili usipigwe 3 buyu?
We kubali ulishindwa mbinu na watoto wa mjini.....kuzuia ni sanaa,sio kila mtu anaweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mashabiki wa Makundi 2

1) Wale Wanaoona kutokuwepo kwa Hendo ndiyo sababu ya Timu kuborong

2) Wale wanaoona ni overall performance ya Timu ipo chini ndiyosababu ya Timu kuboronga.

Third, Fourth or more groups are negligible.

But narudi tena kwenye stats, Mimi ninachoamini ni kuwa number don't lies.

Without stats no real football.

Tuanze kuangalia hapa ili tujuwe kama hizo sababu za hayo makundi mawili ni sahihi or just ni emotions tu.

1) Tulicheza na ATM tukiwa na kikosi kamili! Henderson in, Lovren kwenye bench.
But tulifungwa na tukatoka na ZERO SHOT ON TARGET.

2) Tukacheza na West Ham without Henderson, na Lovren alikuwa Benchwarmer, but tuliconcede 2 goals, tulishinda hiyo game with 7 ON TARGET.

3) Tumecheza na WATFD bila ya Henderson, but Lovren alikuwemo uwanjani! Tumefungwa 3 - 0, tukipiga only ONE ON TARGET.

Katika michezo 3 tumepiga On Target 8 tu kwa ratio ya 2.67 per game.

Je hapa hatuoni kuwa hata kwenye Front 3 yetu kuna tatizo?
Kwanini tunainyooshea kidole Mido na Defence tu?

Hivi kinachomaanishwa ni kuwa Front 3 yetu ni untouchable?
Au bado Watu wanaendelea kulishana matango pori kuwa hakuna mchezaji anayeweza kupata namba mbele ya Front 3 yetu?

Mimi nadeclair wazi kuwa Front 3 yetu ni nzuri lakini ni OVERRATTED.

uwezo wao ni wa kawaida isipokuwa Klopp system ndiyo inayofanya kazi, Wako sahihi wanaosema mchezaji kama Firmino ni System player ambaye nje ya Klopp system anakuwa exposed.

Nimeyaandika haya ili kuonesha kuwa hakuna haja kumnyoshea kidole mchezaji mmoja mmoja bali tatizo ni kwamba Timu nzima ina underperform huo ndiyo ukweli.

Naamini tutarejea kwenye Form but tuwe wastahamilivu.
 
Kuna mashabiki wa Makundi 2

1) Wale Wanaoona kutokuwepo kwa Hendo ndiyo sababu ya Timu kuborong

2) Wale wanaoona ni overall performance ya Timu ipo chini ndiyosababu ya Timu kuboronga.

Third, Fourth or more groups are negligible.

But narudi tena kwenye stats, Mimi ninachoamini ni kuwa number don't lies.

Without stats no real football.

Tuanze kuangalia hapa ili tujuwe kama hizo sababu za hayo makundi mawili ni sahihi or just ni emotions tu.

1) Tulicheza na ATM tukiwa na kikosi kamili! Henderson in, Lovren kwenye bench.
But tulifungwa na tukatoka na ZERO SHOT ON TARGET.

2) Tukacheza na West Ham without Henderson, na Lovren alikuwa Benchwarmer, but tuliconcede 2 goals, tulishinda hiyo game with 7 ON TARGET.

3) Tumecheza na WATFD bila ya Henderson, but Lovren alikuwemo uwanjani! Tumefungwa 3 - 0, tukipiga only ONE ON TARGET.

Katika michezo 3 tumepiga On Target 8 tu kwa ratio ya 2.67 per game.

Je hapa hatuoni kuwa hata kwenye Front 3 yetu kuna tatizo?
Kwanini tunainyooshea kidole Mido na Defence tu?

Hivi kinachomaanishwa ni kuwa Front 3 yetu ni untouchable?
Au bado Watu wanaendelea kulishana matango pori kuwa hakuna mchezaji anayeweza kupata namba mbele ya Front 3 yetu?

Mimi nadeclair wazi kuwa Front 3 yetu ni nzuri lakini ni OVERRATTED.

uwezo wao ni wa kawaida isipokuwa Klopp system ndiyo inayofanya kazi, Wako sahihi wanaosema mchezaji kama Firmino ni System player ambaye nje ya Klopp system anakuwa exposed.

Nimeyaandika haya ili kuonesha kuwa hakuna haja kumnyoshea kidole mchezaji mmoja mmoja bali tatizo ni kwamba Timu nzima ina underperform huo ndiyo ukweli.

Naamini tutarejea kwenye Form but tuwe wastahamilivu.
Upo sahihi mzee,kiukweli mimi naamini wachezaji hawa wanasumbuliwa na fatique......maana wametumika almost msimu mzima kupumzika kwao ni pale wanapokuwa majeruhi tu,na mchoko huu wameupata katika nyakati ngumu za ligi,nyakati ambazo kuna vita kuu mbili,
1.Kuna wale wanaojikwamua kushuka daraja.
2.Kuna wale wanaopambania big4.


Jambo la kushukuru hapo ni kuwa mmeshajihakikishia ubingwa lakini kama kungekuwa na gape la points 5 au 6 hata huu ubingwa wenyewe ingekuwa ngumu sana kuuongelea.



NB:Halisi tupo msitusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mashabiki wa Makundi 2

1) Wale Wanaoona kutokuwepo kwa Hendo ndiyo sababu ya Timu kuborong

2) Wale wanaoona ni overall performance ya Timu ipo chini ndiyosababu ya Timu kuboronga.

Third, Fourth or more groups are negligible.

But narudi tena kwenye stats, Mimi ninachoamini ni kuwa number don't lies.

Without stats no real football.

Tuanze kuangalia hapa ili tujuwe kama hizo sababu za hayo makundi mawili ni sahihi or just ni emotions tu.

1) Tulicheza na ATM tukiwa na kikosi kamili! Henderson in, Lovren kwenye bench.
But tulifungwa na tukatoka na ZERO SHOT ON TARGET.

2) Tukacheza na West Ham without Henderson, na Lovren alikuwa Benchwarmer, but tuliconcede 2 goals, tulishinda hiyo game with 7 ON TARGET.

3) Tumecheza na WATFD bila ya Henderson, but Lovren alikuwemo uwanjani! Tumefungwa 3 - 0, tukipiga only ONE ON TARGET.

Katika michezo 3 tumepiga On Target 8 tu kwa ratio ya 2.67 per game.

Je hapa hatuoni kuwa hata kwenye Front 3 yetu kuna tatizo?
Kwanini tunainyooshea kidole Mido na Defence tu?

Hivi kinachomaanishwa ni kuwa Front 3 yetu ni untouchable?
Au bado Watu wanaendelea kulishana matango pori kuwa hakuna mchezaji anayeweza kupata namba mbele ya Front 3 yetu?

Mimi nadeclair wazi kuwa Front 3 yetu ni nzuri lakini ni OVERRATTED.

uwezo wao ni wa kawaida isipokuwa Klopp system ndiyo inayofanya kazi, Wako sahihi wanaosema mchezaji kama Firmino ni System player ambaye nje ya Klopp system anakuwa exposed.

Nimeyaandika haya ili kuonesha kuwa hakuna haja kumnyoshea kidole mchezaji mmoja mmoja bali tatizo ni kwamba Timu nzima ina underperform huo ndiyo ukweli.

Naamini tutarejea kwenye Form but tuwe wastahamilivu.
ukweli ambao wengi hatutaki kuukubali ndio huo mkuu........

kwenye defence timu yetu ni bora sana kuliko karibia timu zote ulaya, kwenye mido timu yetu 'haina shida' sana , tatzo kidogo ninaloliona ni 'kukosekana kwa keita'......hivyo tumekosa link kati ya mido na fowards!

kule mbele sasa ndio tatizo lilipo, japo wengi huwa tunavunga hatulioni ila lipo sana!..... kule mbele timu haina plan b, haina mtu wa kutokea bench!

kwangu mimi hapa tulipofika, kati ya salah na mane mmoja ikija offer nzuri auzwe then wanunuliwe wawili wenye ubora (proven, timo nadhan ni mmoja wapo) na mwingine wa kutupa plan b!


case ya keita ni pasua kichwa, it hurts aisee!.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom