Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Utani pembeni Henderson ni over rated sana coz ni muingereza ofcoz ni mchezaji mzuri naweza kusema squad player mzuri sana maana hata Ferguson alikua na wachezaji kama Fletcher na pengine angekua ni muingereza wange muoverate sana.
Media za England wamepiga hesabu Liverpool anakua ubingwa halafu wacheza karibia wote wanaofanya vizuri ni wageni so wanamsifia Hendo na kuanza kumfananisha na kina sami hyippia na best Liverpool legends kwa kusema atashinda PFA.
Hendo ni squad player mzuri ila sio mchexaji mkali kama watu wanavyosema na hawezi kupata namba pale Manutd, Mancity , Chelsea, Arsenal wala Leicester city pengine atapata namba Sheffield na Aston villa kwa samata.



Msimamo ni uleule kwamba Liverpool ni mabingwa uchwara hawana hadhi na ubingwa wao hauna mashiko ni ubingwa wa hovyo kuwahi kutokea pale uingereza.

#GGMU
Mbona Hendo yupo vizuri kuliko Lingard

Lingard wa kumuweka benchi Hendo katika sayari gani?

Kuchukua UEFA mwaka jana na kucheza final mbili mfululizo ni ushahidi tosha Liverpool hatubahatishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom